Hao wapanda miti wanaitwa simba mbarara, wanapatikana sana mbuga ya manyara, japo siku hizi hata kwenye mbuga nyingine waweza ona simba wanaopanda miti mheshimiwa mtambuzi!
Hao wapanda miti wanaitwa simba mbarara, wanapatikana sana mbuga ya manyara, japo siku hizi hata kwenye mbuga nyingine waweza ona simba wanaopanda miti mheshimiwa mtambuzi!
mbarara wanang'ata kweli....ila ni wadogodogo.....ukitaka kuwaona simba wapanda miti zaidi ya manyara...nenda serengeti western corridor....maeneo ya kirawira utawapata.....