Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Kuna app kama kde connect mimi huwa natumia kulink android phone yangu na Ubuntu using wifi. Hii huwa naipenda sababu
1. Naweza share copy clipboard between PC na Android phone yangu. i.e. kwamba nikikopy kitu kwenye kwenye android naweza paste straight kwenye pc
2. Naweza tumia phone yangu kama remote control ya Ubuntu. E.g kuchange tracks
3. Napata notification za simu kwenye Ubuntu.
4. Naweza transfer file from PC to phone wirelessly.

Just Google kde connect PPA on how to install
 
Mi ilibidi niachane kutumia ubuntu maana nliaanza kufanya graphics design kwa adobe photoshop na illistrator basi sikua na namna zaidi ya kurudi kwenye windows kishingo upande
 
Leo nilikuwa na download image ya Kali Linux karibia Mara 5 hawa washenzi tanesco wamekata umeme mpaka wamenikata maini halafu ukizingatia image zenyewe mpaka imalize kudownload huchukua muda ,kila nikidownload ikifika kati wanakata umeme halafu nilikuwa na mzuka Leo na Kali linux

Hawa Tanesco wamenikatisha tamaa Leo

Kali Linux
 
Download manager Yako haina resuming option?
 
mimi sijaelewa...hio dual boot....kama jamaa hapo juu...alivyosema
 
mimi sijaelewa...hio dual boot....kama jamaa hapo juu...alivyosema
Dual boot maana yake unainstall Operating system mbili kwenye kompyuta moja, na unakuwa unachagua ipi ya kutumia unapowasha pc yako. Mfano unaweza weka windows na Ubuntu. Installation yake ni simple, kama tayari pc yako ina windows installed, ukiboot Linux CD (Ubuntu, Linux mint) huwa inakupa option ya kuinstall alongside windows just click hapo itafanya partition yenyewe na kujiinstall. Na pindi utakapowasha pc utaona option ya kuboot either windows or Linux.
 
Ubuntu software center kwenye ubuntu 16.04 inakataa nikirun jamani haifunguki kabisa.
 
hapo sawa...mkuu...af linux inayokubali windows 10 ipo?
 
hapo sawa...mkuu...af linux inayokubali windows 10 ipo?
Siyo linux kukubali win10...ni linux inakuwa alongside window 10.Fwata maelekezo ulivyoelekezwa hapo juu utaweza kuwa na win 10 na Linux kwenye pc yako kama hiv
 
Siyo linux kukubali win10...ni linux inakuwa alongside window 10.Fwata maelekezo ulivyoelekezwa hapo juu utaweza kuwa na win 10 na Linux kwenye pc yako kama hiv
mkuu...ina ukubwa gani...nikaapakue..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…