Sababu mojawapo ni kuwa imekwishazoeleka kuwa Polisi wanaenda wenye uwezo mdogo kiakili. Kwa hiyo kumpeleka mwenye high IQ pilisi, kwanza niblaxima mfumo na sifa za ajira za polisi zibadilike. Zikibadilika, ikafahamika na mentality ikabadilika, wenye akili na good reasoning ability, watajiunga polisi.