Kati ya taasisi zinazolitia aibu Taifa letu ni Jeshi la Polisi. Jeshi hili limekosa weledi wa kutambua wajibu wake mkuu.
Genge la Majambazi
Kuna wakati Jeshi hili limethibitika kuwabambikizia watu kesi. Hili limewahi kusemwa hata na Marais wa awamu mbalimbali. Jeshi hili limewahi kuua watuhumiwa wakiwa mikononi mwao. Na hili limekemewa hata na Rais Samia. Jeshi hili limewahi kuwanyang'anya pesa wafanyabiashara wa madini na kisha kuwaua.
Matukio ya uovu mkubwa kiasi hiki hufanywa tu magenge ya ujambazi. Polisi wanaacha wajibu wao wa msingi wa kuwalinda wananchi dhidi ujambazi, kwa wao wenyewe kugeuka kuwa majambazi na wauaji. Kinachosikitisha zaidi, ni viongozi wao kuwatetea wakati wote.
Kundi la Wala Rushwa
Katika tafiti za kila mwaka za kutambua taasisi zinazoongoza kwa rushwa, nyakati zote, Jeshi la Polisi huwa ndiyo taasisi inayoongoza kwa rushwa.
Nguvu Bila Maarifa
Matendo mengi ya Polisi huashiria matumizi makubwa ya nguvu bila akili. Mahali panapohitaji kutumia akili hata kwa kiasi kidogo, ndipo utagundua uwezo mdogp wa Jeshi la Polisi. Ushahidi wa yule RPC ni mfano hai. Fikiria kuwa yule ni RPC. Hao polisi wa kawaida wapoje?
Genge la Majambazi
Kuna wakati Jeshi hili limethibitika kuwabambikizia watu kesi. Hili limewahi kusemwa hata na Marais wa awamu mbalimbali. Jeshi hili limewahi kuua watuhumiwa wakiwa mikononi mwao. Na hili limekemewa hata na Rais Samia. Jeshi hili limewahi kuwanyang'anya pesa wafanyabiashara wa madini na kisha kuwaua.
Matukio ya uovu mkubwa kiasi hiki hufanywa tu magenge ya ujambazi. Polisi wanaacha wajibu wao wa msingi wa kuwalinda wananchi dhidi ujambazi, kwa wao wenyewe kugeuka kuwa majambazi na wauaji. Kinachosikitisha zaidi, ni viongozi wao kuwatetea wakati wote.
Kundi la Wala Rushwa
Katika tafiti za kila mwaka za kutambua taasisi zinazoongoza kwa rushwa, nyakati zote, Jeshi la Polisi huwa ndiyo taasisi inayoongoza kwa rushwa.
Nguvu Bila Maarifa
Matendo mengi ya Polisi huashiria matumizi makubwa ya nguvu bila akili. Mahali panapohitaji kutumia akili hata kwa kiasi kidogo, ndipo utagundua uwezo mdogp wa Jeshi la Polisi. Ushahidi wa yule RPC ni mfano hai. Fikiria kuwa yule ni RPC. Hao polisi wa kawaida wapoje?