Lini Mkoa wa Manyara utakuwa na uwanja wa ndege?

FreedomTZ

JF-Expert Member
Jul 18, 2012
1,104
251
Mkoa wa Manyara ulioanzishwa mwaka 2002 makao yake makuu yapo mjini Babati. Mkoa huu una umri wa miaka takribani 14 sasa kuanzishwa kwake. Serikali imejitahidi kuunganisha mkoa huu na mikoa ya Arusha na Singida kwa barabara ya lami. Pia ujenzi wa barabara ya Babati - Kondoa - Dodoma unaendelea. Bado mkoa hauna uwanja wa ndege. Ni lini mkoa huu utajengewa uwanja wa ndege? au hakuna umuhimu wa uwanja wa ndege?
 
Mnataka kufly eeh......ok.....tutakuja kusurvey........

Haswaaaa ..we want to fly like others. Pia JPM will easily reach Babati bana. Embu waje haraka kufanya survey hata sisi ni watanzania eti.
 
Mkija Arusha si mnaona uwanja na ndege pale kisongo?

Hiyo inawatosha kabisa
 
Mkija Arusha si mnaona uwanja na ndege pale kisongo?

Hiyo inawatosha kabisa

Kisongo ni umbali wa kilometeta 165 ni mbali sana kwa mkoa wa Manyara kutumia uwanja huo. Mkoa unatakiwa kuwa na uwanja wake. Sijawahi kusikia hata harufu ya upembuzi yakinifu.
 
Hivi Haydon sikuna uwanja wa ndege wakishkaji? Au mkuu kwako ule sio uwanja?

Nazungumzia makao makuu ya mkoa, Babati. Siufahamu huo uwanja wa Hydom; ndege ya Rais inaweza kutua hapo? Fastjet, Precision air na ATCL pia zinaweza kupeleka ndege huko?
 
sio kweli kunaviwanja vya ndege vidogo kama vitano hivi navijua mkoa wa manyara!
1.manyara aiport pale karibu na sarena logde karatu.(upo busy na ndege za watalii zinaingia na kutoka)
2.LOLMORIJOI ipo simanjiro
3 HYDOM upo mbulu hospital
4. HARBANGET upo mbulu
5.ENDANYAWISH
6.MAMRE upo tarangire mbugani
7.kuro Upo pia tarangire japo sijawahi kufika
 
sio kweli kunaviwanja vya ndege vidogo kama vitano hivi navijua mkoa wa manyara!
1.manyara aiport pale karibu na sarena logde karatu.(upo busy na ndege za watalii zinaingia na kutoka)
2.LOLMORIJOI ipo simanjiro
3 HYDOM upo mbulu hospital
4. HARBANGET upo mbulu
5.ENDANYAWISH
6.MAMRE upo tarangire mbugani
7.kuro Upo pia tarangire japo sijawahi kufika

Nazungumzia uwanja mkubwa makao makuu ya mkoa, Babati. Ndege ya Rais inaweza kutua katika viwanja ulivyovitaja? Fastjet, Precision air na ATCL pia zinaweza kupeleka ndege huko?
 
Nazungumzia uwanja mkubwa makao makuu ya mkoa, Babati. Ndege ya Rais inaweza kutua katika viwanja ulivyovitaja? Fastjet, Precision air na ATCL pia zinaweza kupeleka ndege huko?
Hivi ni kweli watu wa manyara wa uchumi wa kupanda ndege? Au unaleta masihara tu, serikali yenyewe haina ndege...
 
Mnataka kufly eeh......ok.....tutakuja kusurvey........
Pale Mamire pembeni ni hifadhi yabTarangire ulikuwepo kipindi cha Mashado ......si waje huku YAEDA chini warukie huku tena tuna tunavyo vya kutosha tu

Happy new year Preta
 
sio kweli kunaviwanja vya ndege vidogo kama vitano hivi navijua mkoa wa manyara!
1.manyara aiport pale karibu na sarena logde karatu.(upo busy na ndege za watalii zinaingia na kutoka)
2.LOLMORIJOI ipo simanjiro
3 HYDOM upo mbulu hospital
4. HARBANGET upo mbulu
5.ENDANYAWISH
6.MAMRE upo tarangire mbugani
7.kuro Upo pia tarangire japo sijawahi kufika
Wa Mamire mashamba yanataka kuumeza .......

Aisee wasalimie huko Endamilay na Mongowamono kwa mzee Kampala kule Kideru
 
Back
Top Bottom