Lini CCM waliwahi kukiri hadharani kufanya maovu na kuomba radhi? Kama hawajawahi, wanafanya maridhiano kwa lipi?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,142
Reaction score
162,536
Mimi naomba kama yupo mwwnye majibu anisaidie.

Kama tuliambiwa "tunademka" na kwamba "kifo ni kifo" na hujwahi omba radhi kwa kauli za aina hiyo huku ukisema wewe ni "chura kiziwi' , sasa logic ya kufanya maridhiano inatoka wapi?

Mwenye majibu tafadhali.
 
Kwa hili hata Zitto kashindwa kutambua……….ndio maana naona kabis jamaa ni manplan
 
Ipo siku WaTanganyika watajitafuta na kujipata. Watadai uhuru upya make uliopo hauna msaada kwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…