Linex amkana Jack Cliff baada ya kunaswa na UNGA huko China....Amedai kuwa hana ukaribu naye wala us

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281

Kufuatia madai mbalimbali juu ya Mtanzania aliyekamatwa na madawa ya kulevya nchini China (Jack Clief) , Msanii Linex ambaye amefanya video ya wimbo wake wa Kimugina na msichana huyu ameamua kumkana laivu....


Huu nu ujumbe wake alioundika facebook



 
Wasanii wetu wengi hawako mentally stable.
Angalia alicho kiandika so called linex
mtu anaweza kujiuliza kulikuwa na umuhimu gani wa kuandika hayo?
Alaf nani alitegemea kuwa so called linex anaweza kukubali kuwa na ukatibu na huyo jackie?

hivi "COS" ndio nini?
 
Bwana akamwambia Petro.........kabla ya jogoo kuwika......utanikana mara tatu...... ........alianza Kadinda akadinda.......sasa.....Finex......bado mmoja andiko litimie.... Ila kwa maoni yangu nyie kina PETRO mmekurupuka mapema mno.....mngesubiri subiri......hamuwezi jua....mmesahau yupo "Silvestre Stallon John Rambo"...alivyo rescue mfungwa wa SA....sasa je akienda na china alafu bi mdashi atie timu kama Masogange sijui nyuso zenu mtazificha wapi... Na kwa umaarufu wawili hawa naona kama wanarandana........mtaumbuka aise......
 

"Ukatibu" ndio nini
 

Nadhani atakua anamaanisha Cosine

Cosine (COS) = Adjacent / Hypotenuse
 

bilashaka alitaka kuandika Coz ya because!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…