Line za wakala zinapatikana za uhakika

Line za wakala zinapatikana za uhakika

Mkuu humu wanunuaji ni wachache ni mmoja kati ya kumi, hata ukisema unagawa bure kuna watakaosema uwape bure hlf uwape na hela, kwhyo nakusihi sana uwe mvumilivu wengine huwa wanajisikia tu kupost basi nayeye anapost tu ili mradi ila wala si muhitaji
 
mimi nilishapata .yupo safi huyu muuzaji anaweza kukuletea kama upo dsm
 
Mkuu humu wanunuaji ni wachache ni mmoja kati ya kumi, hata ukisema unagawa bure kuna watakaosema uwape bure hlf uwape na hela, kwhyo nakusihi sana uwe mvumilivu wengine huwa wanajisikia tu kupost basi nayeye anapost tu ili mradi ila wala si muhitaji

umeona eeh wangu nishawazoea nashukuru kwa kuliona pia....appreciation
 
Tigo pesa 270k
Mpesa 160k
Airtel 110k
0712191251
 
wahi sasa kuna punguzo

tigo 260,0000
mpesa 150,000
airtel 100,000
 
Offer hadi trh mbili

tigo 240,000
Voda 140,000
Airtel 95,000

Wahi sasa
 
Hii Biashara inaingizaje pesa? Nataka kufanya Nipe mchanganuo wake.
 
Back
Top Bottom