The worstVODACOM
The worstVODACOM
Izo mb mi napewa za wiki kwa pesa hiyo hiyo halotel mkuu.mtandao pendwa kabisaView attachment 1100432
Ulianzishwa utaratibu ambao unatuwezesha line ya mtandao wowote kuibadili iwe ya mtandao mwingine unaoupenda, TCRA inatakiwa itoe ufafanuzi hasa baada ya usajiri mpya.Kuna kutupa line zako zote ubaki na moja tu kwa ajili ya internet (Data ) , Message na mawasiliano mengine.
Utabaki na line gani ? Itakutoa ?
Mm nabaki na Airtel, mtandao wa kijanja sana.
Vifurushi safi kabisa muda wote na iko safi sana!
halotel sio ghali ni cheap sanaPamoja na kuwa ghali mtandao wa halotel uko fasta kwa net hata vijijin
WAFUTE YOTE IBAKI HALOTEL
No, Sir tigo is the worstThe worst
ACHA KUTAPELI WATU JFmtandao pendwa kabisaView attachment 1100432
Funguka vema mkuu kwenye hiliMitandao ya internet inategemea na cm unayomiliki mzee.
Tatizo internet haina kasiTtcl, nyumbani kumenoga
Pamoja na kuwa ghali mtandao wa halotel uko fasta kwa net hata vijijin
WAFUTE YOTE IBAKI HALOTEL
[/QUOTE
Kiukweli artel hawajawahi ni angusha na huduma yao ya uni number 4Kuna kutupa line zako zote ubaki na moja tu kwa ajili ya internet (Data ) , Message na mawasiliano mengine.
Utabaki na line gani ? Itakutoa ?
Mm nabaki na Airtel, mtandao wa kijanja sana.
Vifurushi safi kabisa muda wote na iko safi sana!
Tunaomba hiyo menu ya tigo inayotoa hiyo MB 500 kwa Tsh 500 mkuu, kwa masaa 24 na SMS 500 turahisisha maisha.mtandao pendwa kabisaView attachment 1100432
Interact with Caution, he is a Con ArtistTunaomba hiyo menu ya tigo inayotoa hiyo MB 500 kwa Tsh 500 mkuu, kwa masaa 24 na SMS 500 turahisisha maisha.
Pamoja na kuwa ghali mtandao wa halotel uko fasta kwa net hata vijijin
WAFUTE YOTE IBAKI HALOTEL