Mi nlikuja pale Juma (mfupi ivi alikua anapenda sana kubeba nondo) ndo alikua hdboy luhende simkumbuki dito si yule aliyekua mtoto wa ditopile? Kama ni huyo nampata tho nlikuta kashamaliza alikua anakujaga sana pale cz walikua na nyumba twn
Mi nlikuja pale Juma (mfupi ivi alikua anapenda sana kubeba nondo) ndo alikua hdboy luhende simkumbuki dito si yule aliyekua mtoto wa ditopile? Kama ni huyo nampata tho nlikuta kashamaliza alikua anakujaga sana pale cz walikua na nyumba twn
dah umenikumbusha huyo msela, mara kwa mara alikuwa ananishika makosa na ku2ngua maembe. Pale kwake kuna mama ntilie anaitwa mama aziza. Those days wazee wa kupanda malori kkoo.