Hajakamatwa na wananchi wenye hasira?Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania Bernard Membe amepata ajali ya gari leo wakati akitokea Rondo kuelekea Lindi Mjini baada ya tairi la gari kupasuka, Membe na wengine wote waliokuwemo kwenye gari wapo salama na hawajapata majeraha yoyote.
mwenzake alikatika mkono, Nape naye alipiga chini. duuh. meko akatumiwa moto.. huko kusini mna nini?Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania Bernard Membe amepata ajali ya gari leo wakati akitokea Rondo kuelekea Lindi Mjini baada ya tairi la gari kupasuka, Membe na wengine wote waliokuwemo kwenye gari wapo salama na hawajapata majeraha yoyote.
Hii nayo ni jibu au swaliKwani ulimtafuta ukashindwa kumpata?