Kwa nn asinge muumbua toka akiwa padri
Mpaka aone anatakakuongoza
Nchi ndo ajidai alizaa nae
Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana
Unachowaza ni ngono tuu na mambo yasiyo na msingi. Badala ya kutafakari mstakabali wa Taifa unawaza na kuoongelea maneno ya vijiweni. Unakuwaje kama MZIWANDA? KUla kunya kulala kwa mama. Usichangie kwa kutumia masaburi.
Wewe ndo mfu na CCM yako
kweli mkuu, halafu ukionna mtu anaongea maneno mengi na kuyarudia rudia jua hana sera zaidi ya kujikanyaga.Watanzania siyo wajinga mkuu we tukana tu but siku ikifika usije kufa na presha.
Tena inaonekana mleta mada ni CDM anayekipenda kwa dhati na anayeona uchungu jinsi mambo yanavyokwenda hovyo chini ya kamanda MBOWE.hamkisaidii chama mnazidi kukizamisha..mleta mada ametoa ushauri..nyie mnaishia kutukana...then who is stupid btn you idiot and the advisor who want to help you
anzisha mada, hapa tunajadili uozo ndani ya machadema
Nyani haoni kundule. Hata na wewe ni wale wale
In bracket umemaanisha kitu gani hapo?mkuu watu huwa hawakubari ukweli ila ni ushauri wa kweli kwao but nani atapokea ushauri huu make cdm siyo chama make imekuwa kama (ngos) ya mbowe.
Mtei ameinvest pesa zake nyingi sana kuanzisha chadema. Hawezi kuacha watu wawe wanasema tu mambo wanayotaka.
Ndio maana tenda zote za chadema anachukua Mtei.
Hata wewe ungetumia pesa zako kuendesha chama usingekubali watu wakuingilie kwenye maamuzi.
Chama kinaongozwa na DJ una expect nini
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.
CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.
Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!
Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
nataka kuuliza wana jamvi, hivi kama huyu mchangiaji anatukana hvi halafu hajafungiwa na jf wala kupewa karipio kali, nikimtukana nitakuwa nakosea? Najua huyu jamaa anafanya kazi hii kwa malipo, lakini mimi nataka nijitolee kumshushua bila malipo? Mnasemaje wakuu?chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti zitto angekuwa hatoki kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.mama rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.