siku hizi mirembe kuna computer lab??
kwahiyo wewe boya umeona slaa tu ndio chama kizima
kweli kiazi ni kiazi tu
Hii inaitwa character assassination! Shame on you! Gamba and RADICAL ISLAMIST!!!Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.
Kiazi mwingine huyu hapa! Hovyo kabisa! Hivi udini utawaisha lini? Kwanini msijadili Dr. Slaa kutokana na uwezo wake kitaaluma na kisiasa badala yake mnaingiza siasa za udini? Bure kabisa nyie CCM! Mbona CHADEMA hawawapingi kwa misingi ya udini? Mmelogwa na nani nyie manyang'au?dr slaa ndo mtaji wenu pekee uliobaki kutokana na kuungwa mkono na watu wanaokula ile kitu inatafuta chakula kwa pua
Mwenzenu Kakimbilia Uholanzi Kujitetea kuwa Nchi haijamshinda kama Vile wale Jamaa wa Uholanzi ndo walimwambia kuwa Nchi imemshinda
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.
kati ya kinana na Slaa nani ameweza kueneza chama bila Rasilimali Fedha,KUISHABIKIA CCM LAZIMA UWE NA AKILI YA MAITI
Mitakataka inaanzisha hoja za kijinga yenyewe na kutumia I'd nyingine kujisupport! Haya, saa hizi umeshachelewa nenda kesho asubuhi Lumumba ukalipwe 7000 yako.
Nyie pigeni kelelee tukanenii..chafueni chadema sisi ngome zenu tuna vunja, twanga kote kote...hakula kulala mpaka kielewe.CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.
CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.
Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!
Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
Ha ha ha haaaa! Naona CCM wameshachanganyikiwa! Wanajitekenya na kujikuna wenyewe!! Wanatembea barabarani uchi wakijinadi eti wamevaa "suti maalum" zisizoonekana na "wabaya".MAFILILI na ZeMarcopolo ndiyo mnaamka sasa hivi nini? kwa taarifa ya the big story ya leo ni LEMA KASHINDA RUFAA YAKE. NA MAGAMBA YA NATAKIWA KULIPA GARAMA ZOTE ZA KESI.
Hivyo kapigeni mswaki kwanza. kisha muanze kuongeo. for sure you are out of sense.
Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana