Limbwata limekolea hapa

siku hizi haki ni sawa.... sio ooh mwanaume suruali hana hela (sawa wababa nao wanafanya kazi zilizo dhaniwa ni za kina mama, na kina mama nao wafanye kazi wanazo dhani ni za kina baba )
 
siku hizi haki ni sawa.... sio ooh mwanaume suruali hana hela (sawa wababa nao wanafanya kazi zilizo dhaniwa ni za kina mama, na kina mama nao wafanye kazi wanazo dhani ni za kina baba )
kwa hilo pozi HAPANA aisee
 
Ila kweli wanaume hatupendezei hizi mambo basi tu tunalazimisha kwa kufarijiwa eti haki sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…