Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Mkuu vipi upo Aleppo?Source: Clouds FM
Mkuu vipi upo Aleppo?
Mbona CHADEMA wanasema ACT imeasisiwa na Zitto?
Sidhani kama taarifa uliyotupa ina mashiko.
Kuasisi na kujiunga ni vitu viwili tofauti.
Yes ukijenga juu ya bomba la maji machafu lazima nyumba ibomolewe.Duh..hivi mtu anaweza kujenga nyumba halafu akazuiwa kuingia humo?
Duh..hivi mtu anaweza kujenga nyumba halafu akazuiwa kuingia humo?[/QUOTE
mambo mengine si kubisha tu...jaribu uone....tuma pesa ujengewe nyumba!!!
Mbona CHADEMA wanasema ACT imeasisiwa na Zitto?