Kama utapata wanafunzi, niite mbwa niko pale....
Kama wewe ndiye mwalimu unayetaka kufundisha wanafunzi, unaanza kwa kuandika "LILIZO TIME", basi wanafunzi watakaokubali kufundishwa na wewe ni mabwege.
LILIZO ndiyo nini? Halafu kwa nini utumia capital letters?