happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,394
kweli jf kila mtu ni mtakatifu ,hizi ishu za kutoroka nyumbani na kulala kwa wanaume mbona ni common sana kwa watoto wa kike kila wapatapo nafasi.
Una maana kwa sababu tabia za kutoroka na kulala kwa wapenzi ni common basi tuzihalalishe ziwe TAKATIFU? tabia mbaya zitasemwa na kupigwa vita siku zote hata kama zinafanywa na wengi.