Like father like son! Like CCM like ACT!

Like father like son! Like CCM like ACT!

Hawa ACT ni watu hatari kwa taifa hili
Ni aina fulani ya chama cha kigaidi
 
Hawa ACT ni watu hatari kwa taifa hili
Ni aina fulani ya chama cha kigaidi

kwa vile unasema kuwa ACT ni magaidi na kwa vile wametoka kwenye chama cha kigaidi (chadema) basi na chadema ni magaidi
 
kwa vile unasema kuwa ACT ni magaidi na kwa vile wametoka kwenye chama cha kigaidi (chadema) basi na chadema ni magaidi

We kama unaakili unadhani kwanini cdm iliwatimua?
Ugaidi gaidi hu hu!!
Chadema akilei wezi wala magaidi chimbo lao ni ccm na act!
 
Yaani nyinyi vijana wa bavicha hamuishi kukimbizana na vivuli vyenu
 
kwa vile unasema kuwa ACT ni magaidi na kwa vile wametoka kwenye chama cha kigaidi (chadema) basi na chadema ni magaidi

CDM imewafukuza baada ya kugundua kuwa wanafanya ugaidi kwa kushirikiana na maccm! Rejea ugaidi wa kutesa na kuua uliokuwa ukifanywa na Savimbi kwa ushirikiano wa karibu na MM.
 
Back
Top Bottom