Ligi ya Tanzania inavurugwa kwa maksudi, upangaji matokeo unatawala

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Hii Ni aibu kwa TFF na Board ya Ligi mpaka Sasa kwenye ligi kwenye ligi ya Tanzania Kuna vilabu vimebakiza mechi 5 kamaliza ligi huku Simba akibakiza mechi 16. Mpaka Sasa Simba hajacheza na hizi timi round zote mbili
Kagera sugar vs Simba
Simba vs kagera sugar
Mtibwa vs Simba
Simba vs mtibwa
Biashara utd vs Simba
Simba vs biashara utd
Simba vs Coastal unioni
Coastal union vs Simba
Mpaka Sasa ligi imebakiza mwezi na nusu kuisha je Simba watacheza mechi 16 ndani ya Muda huo?
Ikumbukwe ligi hawezi kusogezwa mbele Tena kwasababu timu ya Taifa inaitajika Muda wa maandalizi ya AFCON itakayoanza mwezi June katikati.
Viporo vya Simba Ni vya makusudi kwasababu katika timu zinazocheza ligi ya Mabingwa hakuna ligi imezidi viporo 5 yaani DRC Congo , South Africa, Tunisia na Morocco
Al Ahly pamoja na kupigwa 5 lakini Leo jumatano wanacheza mchezo wa ligi, huku Simba yeye amepumzika akisubiri ijumaa kwenda Congo.
Ligi yetu inakuwa Haina usawa.


56407471_1317787788387459_8077656636967092224_o.jpeg
56927374_2753791861329996_5909811060117864448_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kusimama ktk ukweli japo huwa nakuona sana upande wa 'Mnyama'!
Hii Ni aibu kwa TFF na Board ya Ligi mpaka Sasa kwenye ligi kwenye ligi ya Tanzania Kuna vilabu vimebakiza mechi 5 kamaliza ligi huku Simba akibakiza mechi 16. Mpaka Sasa Simba hajacheza na hizi timi round zote mbili
Kagera sugar vs Simba
Simba vs kagera sugar
Mtibwa vs Simba
Simba vs mtibwa
Biashara utd vs Simba
Simba vs biashara utd
Simba vs Coastal unioni
Coastal union vs Simba
Mpaka Sasa ligi imebakiza mwezi na nusu kuisha je Simba watacheza mechi 16 ndani ya Muda huo?
Ikumbukwe ligi hawezi kusogezwa mbele Tena kwasababu timu ya Taifa inaitajika Muda wa maandalizi ya AFCON itakayoanza mwezi June katikati.
Viporo vya Simba Ni vya makusudi kwasababu katika timu zinazocheza ligi ya Mabingwa hakuna ligi imezidi viporo 5 yaani DRC Congo , South Africa, Tunisia na Morocco
Al Ahly pamoja na kupigwa 5 lakini Leo jumatano wanacheza mchezo wa ligi, huku Simba yeye amepumzika akisubiri ijumaa kwenda Congo.
Ligi yetu inakuwa Haina usawa.


View attachment 1067390View attachment 1067391

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada,unadhani Al Ahly angekuwa anacheza ugenini Leo angeweza kucheza mechi ya ligi nchini mwake halafu asafiri ugenini nje ya nchi kucheza mechi jumamosi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Michuano inayoshiriki Simba zipo timu nyingi kwenye ligi tofauti tofauti zinashiriki lakini angalia hakuna ligi yoyote duniani, timu ikafikisha viporo 10+ ni jambo la ajabu sana kwa ligi yetu timu kufikisha viporo vyote hivyo. Na ajabu lingine ni pale timu kuanza mechi za mzunguko wa pili kabla ya hata kukamilisha mechi zote za mzunguko wa kwanza. Tuwe wakweli, tusilete ushabiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada,unadhani Al Ahly angekuwa anacheza ugenini Leo angeweza kucheza mechi ya ligi nchini mwake halafu asafiri ugenini nje ya nchi kucheza mechi jumamosi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kuja kucheza na Simba Taifa..Al Ahly alikipiga jumanne kwao..nadhani na timu ya Kichuya..hakuna sehemu yoyote haya mambo..leo walitakiwa wacheze..Congo wanaenda Ijumaa na ndege ya kukodi..FIFA kanuni zao kila baada ya masaa 72 mbungi ipigwe
 
Nafuu Simba Tutoke kwenye ili,Kombe ili Tujipe nafasi na Ligi.

Na hakika tukiendelee na Nusu FAINALI
Ligi itaisha tukiwa na viporo vyetu

LAKINI,Kutesa kwa zamu Mkuu.

Sisi tupo tunawahangaikia
Yanga
Azam
Mtibwa
mwakani waweze Kupanda Ndege.

Au Juhudi za Soka La Simba Hamzioni?

Mpaka Sasa,Simba inemfanikiwa kuitangaza Nchi.

Na Hata Kama tutaishia Robo FAINALI Bado mtatucheka na kutudhihaki
Ombi lenu Ni batili
Angalau Tusogee Hadi Nusu FAINALI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Ni aibu kwa TFF na Board ya Ligi mpaka Sasa kwenye ligi kwenye ligi ya Tanzania Kuna vilabu vimebakiza mechi 5 kamaliza ligi huku Simba akibakiza mechi 16. Mpaka Sasa Simba hajacheza na hizi timi round zote mbili
Kagera sugar vs Simba
Simba vs kagera sugar
Mtibwa vs Simba
Simba vs mtibwa
Biashara utd vs Simba
Simba vs biashara utd
Simba vs Coastal unioni
Coastal union vs Simba
Mpaka Sasa ligi imebakiza mwezi na nusu kuisha je Simba watacheza mechi 16 ndani ya Muda huo?
Ikumbukwe ligi hawezi kusogezwa mbele Tena kwasababu timu ya Taifa inaitajika Muda wa maandalizi ya AFCON itakayoanza mwezi June katikati.
Viporo vya Simba Ni vya makusudi kwasababu katika timu zinazocheza ligi ya Mabingwa hakuna ligi imezidi viporo 5 yaani DRC Congo , South Africa, Tunisia na Morocco
Al Ahly pamoja na kupigwa 5 lakini Leo jumatano wanacheza mchezo wa ligi, huku Simba yeye amepumzika akisubiri ijumaa kwenda Congo.
Ligi yetu inakuwa Haina usawa.


View attachment 1067390View attachment 1067391

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiwa na UHAKIKA wa Kukanyaga NUSU FAINALI
tutakuwa tunagawanya kikosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inachokifanya Bodi ya ligi na Simba ni kwa faida ya nchi na Timu nyingine zinazoshiriki ligi ya Bongo. Simba ikitinga nusu fainali itazibeba na timu zingine mwakani nazo zitapanda ndege. Simba ikimalizana na TP Mazembe inauwezo wa kucheza mechi 4 za viporo ndani ya wiki moja huku ikiwa imeshaisaidia Yanga kupata nafasi ya kucheza Club bingwa hapo mwakani.
 
Mnalaumu sana kuhusu simba ila hamfurahii wanavyoiwezesha yanga kupanda ndege mwakani hata kama haitachukua ubingwa.
 
Masikini hata ukimbeba vipi hana shukurani. Yanga hamuwezi kuchukua ubingwa,leo hii tunapigania nusu fainali ili nao waingizwe kimataifa,bado wanalalama
 
Back
Top Bottom