Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Kushuka daraja enh? Tatizo lenu wana msimbazi lina waponza jina (SIMBA) haijulikani wakike wakiume ama mtoto?
Kuwa mabingwa wewe, kushuka daraja haiwezekani...
Kushuka daraja enh? Tatizo lenu wana msimbazi lina waponza jina (SIMBA) haijulikani wakike wakiume ama mtoto?
Halafu wewe huwa unani uzi sana mkipata sare na Simba mwaka huu tunawatandika kunzia tatu...
Msimu huu Azam asipochukua ubingwa napumzika kushabikia soka la bongo.
Tutoke nao sare? hiyo haiwezekani tunawatandika tena nyingi tu...
Kushuka daraja enh? Tatizo lenu wana msimbazi lina waponza jina (SIMBA) haijulikani wakike wakiume ama mtoto?
Hizi dharau zenu mtafunga midomo tu....
Siku hiyo watakimbiana humu jukwaani.
Niweke mambo sawa tu kwamba mimi ni shabiki wa Azam FC.
Ni shabiki wa Man City vile vile. mwisho wa msimu mkiwa mnatoa pongezi msinisahau.
Mtanange unaanza mwishoni mwa wiki hii, mabingwa watetezi na washindi wa Ngao ya Jamii, Yanga Afrika wakianzia Dar es Salaam dhidi ya timu iliyopanda daraja, Ashanti United.
Washindi wa pili wa msimu uliopita, Azam FC wao wanaanzia Manungu mkoani Morogoro dhidi ya timu imara ya Mtibwa Sukari. Wageni wengine, Mbeya City kutoka Mbeya wao wataanza katika uwanja wa Sokoine dhidi ya Kagera Sukari huku wenzao Rhino wakianzia nyumbani pia dhidi ya Simba ya Dar es Salaam.
Nakala: watu8, Gang Chomba, mzabzab, ndetichia, platozoom, Baba V, gutierez, Makoye Matale, Katavi, Ulimakafu, Anselm, Mkirua, namanyele, PrN-kazi, Speaker, Zanta, saitama_kein, EMT, Dark City, Saint Ivuga, Mc Tilly Chizenga, Ab-Titchaz, Mwita Maranya...
wellcome to the world dude..
Halafu wewe huwa unani uzi sana mkipata sare na Simba mwaka huu tunawatandika kunzia tatu...
kama karambwanda tunazidi kusonga tu mdogo mdogo..Naona chama lenu linazidi kupata wadau.