Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,345
Ligi ya mwaka huu naisubiri kwa hamu sana...
Sababu kubwa ni imani niliyonayo juu ya timu nyinginezo ukiacha wababe Yanga na Simba...
Timu kama Coastal Union "Wagosi wa Kaya" wamefanya usajili mzuri mno, na historia inaonesha hawa jamaa wakiwa wazuri basi ligi huwa ya ushindani sana...
mwaka huu yanga ambaye amezoea kununua itakuwa ngumu sana..
mwaka huu yanga ambaye amezoea kununua itakuwa ngumu sana..
Wee Mkuu vipi? Yanga anunue mechi? Kazi ya Yanga ni kuwatandika kuanzia aliye mkubwa kuliko wote (Simba SC) hadi aliye mdogo kabisa kuliko wote (Mbeya City & Rhino Rangers, Ashanti excluded). Hadi sasa sioni timu itakayosalimika mbele ya Yanga; si Azam wala Simba. Kwa mbali naona kuna upinzani pale Mkwakwani kwa Wagosi wa Kaya lakini nao wanacharazika, hivyo bila kupepesa macho wala kutikisa masikio uwezekano wa Yanga kuwa bingwa ni 99%, hiyo 1% naiacha kwa ajili ya unforeseen circumstances.
YANGA Mabingwa wa Tanzaniakuanzia waka 2012-2020,naipenda YANGA watoto wa Jangwani,hakuna kukubali mpaka kieleweke,hii ndiyo YANGA!Mbele,Kavumbagu,Tegete,Ngasa,Niyonzima,Msuva,achana na katikati,njoo kwnye Beki bora kabisa Afrika mashariki na kati,ikichagizwa n Canavaro,Yondan!!naipenda YANGA?
Mtanange unaanza mwishoni mwa wiki hii, mabingwa watetezi na washindi wa Ngao ya Jamii, Yanga Afrika wakianzia Dar es Salaam dhidi ya timu iliyopanda daraja, Ashanti United.
Washindi wa pili wa msimu uliopita, Azam FC wao wanaanzia Manungu mkoani Morogoro dhidi ya timu imara ya Mtibwa Sukari. Wageni wengine, Mbeya City kutoka Mbeya wao wataanza katika uwanja wa Sokoine dhidi ya Kagera Sukari huku wenzao Rhino wakianzia nyumbani pia dhidi ya Simba ya Dar es Salaam.
Nakala: watu8, Gang Chomba, mzabzab, ndetichia, platozoom, Baba V, gutierez, Makoye Matale, Katavi, Ulimakafu, Anselm, Mkirua, namanyele, PrN-kazi, Speaker, Zanta, saitama_kein, EMT, Dark City, Saint Ivuga, Mc Tilly Chizenga, Ab-Titchaz, Mwita Maranya...
Kwa magoli ya garasa mombeki???Hadi kufikia jumamosi saa
moja jioni mnyama mkali wa porini SIMBA SPORTS CLUB aka wekundu wa
Tanzania watakuwa pale juu wanaongoza ligi.
Mkuu mimi sio kocha lakini ningekuwa kocha tegemeo langu katika safu ya kiungo na ushambuliaji lingekuwa Christopher Edward, Ramadhani Singano, Zahoro Pazi, William Lucian, Said Ndemla, Rashid Ismail, Abdalah Seseme, Ramadhani Kipalamoto na Jonas Mkude na kuna madogo wengine wawili siwakumbuki majina.Kwa magoli ya garasa mombeki???
Mkuu mimi sio kocha lakini ningekuwa kocha tegemeo langu katika safu ya kiungo na ushambuliaji lingekuwa Christopher Edward, Ramadhani Singano, Zahoro Pazi, William Lucian, Said Ndemla, Rashid Ismail, Abdalah Seseme, Ramadhani Kipalamoto na Jonas Mkude na kuna madogo wengine wawili siwakumbuki majina.
Klabu yenye timu bora kabisa; Ewe Yanga timu yangu yenye tumaini kuu, nitakulinda nawe unilinde hata kufa!
Klabu yenye timu bora kabisa; Ewe Yanga timu yangu yenye tumaini kuu, nitakulinda nawe unilinde hata kufa!
AMINA!AMINA!AMINA!AMINA!Na
ili kukuhakikishi kwamba tuko full mziki,hata rais wa TFF ajaye atakuwa
YANGA(JAMAL MALINZI),MAKAMU WA RAIS(IMAN MADEGA-MWZNASHERIA),eee mungu
walinde,ilinde yanga yangu,yetu,yako,yao,yetu sote,wabishi wasiopenda
kufungwa wafungike,watepete ubingwa utangazwe mapema JANGWANI!!Ahsante
Mungu kwa sababu umejibu maombi!
Mmoja ni huyo na kuna wengine watatu nimeshawakumbuka, Frank Sekule, Marcel Kaheza na Haruna Chanongo.Nadhani unamaanisha Ibrahim Twaha aliyetoka Coastal Union...
Mmoja ni huyo na kuna
wengine watatu nimeshawakumbuka, Frank Sekule, Marcel Kaheza na Haruna
Chanongo.