Ligi Kuu Vodacom: Leo, 19 Februari 2015

Eraaaweraaaaaaakandambiriiiii3biraaaaawapiiruvuushuutingggpigaazammmaahaaaaaaasareesareeeelohhhnipeenipeee nikikupautareeewaaaaaaaaa
 
90+ Azam 0;rvshtn 0. Akaaayangaaafrikaaaayangaamojaaa wamataifaaa yamasharikiiii afrikanakatiiiii
Cc pepekalreeeeeee​
 
Hakuna haja ya kutumia risasi kuua nyoka, fimbo yatosha! Kajifunze maana ya maneno hayo.
Sijajua bado kama Sherman ni fimbo au risasi. Kwani mshambuliaji hatari wa kati wa kimataifa kutoka Liberia, Afrika Magharibi, ana magoli mangapi VPL? Maybe I will then be in a position to know who the hell is he!
 
Sasa ni uchawi au pesa? Mbona inaonekana sababu zinakuwa nyingi? Huwa napenda sana mtu anaposimama katika hoja yake ya awali, otherwise anakuja kukubali hoja za wengine. Lakini ukiona mtu wakati huu anatoa hoja fulani, baada ya dakika chache anaachana na hoja yake mwenyewe na kuanzisha nyingine mpya, my rating to the person is always towards poor.
Mkuu Jabulani hujanisoma vizuri, kuna member ali coment hapa kwamba 'Yanga wana roga sana" nimkamjibu hivi; Hata mikia wamekamatana uchawi gemu ya juzi Moro.
Kisha na wewe ulama na swali lako, 'kwani matokeo yalikuaje"? Nikakujibu hivi; 'Mbumbu fc walishinda 2-0 si unajua tena mambo ya Mpesa"
 
Kwa mbaaaali naliona kombe likiwa limening"iniziwa viuzi vya njano na kijani huku kanavaro akijiandaa kukabidhiwa na mgeni rasmi ndugu jakaya kikwete,huku na mimi nikiwa jukwaa la kulia nimeshika huawei kupiga picha tukio hilo,alafu kwa mbaali jukwaa la kushoto naona viti vyeupee wachache waliobaki wameshika shavu wakisonyasonya
 
Eraaaweraaaaaaakandambiriiiii3biraaaaawapiiruvuushuutingggpigaazammmaahaaaaaaasareesareeeelohhhnipeenipeee nikikupautareeewaaaaaaaaa

Sikutegemea kucheka leo…dah kweli jf ni stress free zone…ganja bwana!!!
 
Eraaaweraaaaaaakandambiriiiii3biraaaaawapiiruvuushuutingggpigaazammmaahaaaaaaasareesareeeelohhhnipeenipeee nikikupautareeewaaaaaaaaa


Mkuu huu ndo mwandiko wako siku zote?
nimecheka mpaka basi.
 
Eraaaweraaaaaaakandambiriiiii3biraaaaawapiiruvuushuutingggpigaazammmaahaaaaaaasareesareeeelohhhnipeenipeee nikikupautareeewaaaaaaaaa

Yeah, hii ni kali.

Ushabiki una wenyewe, sisi wengine tunaigiza tu.

Asante Yanga kwa ushindi wa leo ulioibua vipaji vya mashabiki kama huyu ndugu yangu Pdidy.
 
Last edited by a moderator:
yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kwa mbaaaali naliona kombe likiwa limening"iniziwa viuzi vya njano na kijani huku kanavaro akijiandaa kukabidhiwa na mgeni rasmi ndugu jakaya kikwete,huku na mimi nikiwa jukwaa la kulia nimeshika huawei kupiga picha tukio hilo,alafu kwa mbaali jukwaa la kushoto naona viti vyeupee wachache waliobaki wameshika shavu wakisonyasonya
Oyoooooooooooyoooooooooo oyoooopopppooyooooooooooo yangaaaaayangaaaaaaaaaaaaayamgaaaaaayangaaaaaaa
 
Back
Top Bottom