babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,600
Hivi matokeo ya mechi yalikuwaje?
Mbumbumbu fc walishinda 2-0, si unajua tena mambo ya Mpesa.
Hivi matokeo ya mechi yalikuwaje?
Ushaisha mkuu,yan hapo ndio tushakaa kileleni mpaka ubingwa,hamna wa kututoa katika nafasi yetu ya kwanza
Yanga wanaloga sana!!
Fipile file pA Sokoine tolepakolya
asante kwa marebisho mkuuAssist 2 kafunga moja,jamaa alitaka kuokolea ndani akajikuta anauongezea mwendo mpira kwenda nyavuni.
Fipile file pA Sokoine tolepakolya
Ubingwa mtaishia kuusikia tuu..Simba wako jikoni wanachemsha dawa yenu.
Po mlye kanunu nkamu gwangu!
Ila hawa banyambala wabovu sana
Mashindano ya kimataifa mtaendelea kuyasikia tu.
Sasa ni uchawi au pesa? Mbona inaonekana sababu zinakuwa nyingi? Huwa napenda sana mtu anaposimama katika hoja yake ya awali, otherwise anakuja kukubali hoja za wengine. Lakini ukiona mtu wakati huu anatoa hoja fulani, baada ya dakika chache anaachana na hoja yake mwenyewe na kuanzisha nyingine mpya, my rating to the person is always towards poor.Kwanza mikia wamekamatana uchawi wenyewe kwa wenyewe gemu ya juzi Moro.Hivi matokeo ya mechi yalikuwaje?Mbumbumbu fc walishinda 2-0, si unajua tena mambo ya Mpesa.
Safari hii daraja la kwanza hawalikwepi.
Full Time: Prisons 0-3 Yanga.