Utakuwa mtu wa ajabu sana kama mtu atakusimamia kuanzia dakika ya kwanza hadi ya 45 bila kupiga goli, unaomba mapumziko ya dakika 15, anakuruhusu then mnaendelea hadi dakika ya 72 anapata bado (tens medy kagere!), alafu ww unaomba bao la pili!!!!!!???? Utakuwa MTU wa hatari sana! Huchoki?Hahahaaa. Nyie Khamsa Khamsa tu hazikuwagusa mkaona ni kawaida ije kuwa ako kamoja.
sawa mkia fcSio tumeshinda tu,mmechezea kichapo
muda utasema subiriMkia umeingia. Naona unajipinda.Mara ya mwisho chura kushinda dhidi ya Simba ni lini?Mkitoa sare mnafanya maandamano ya kusheherekea!!!!
Hahahàaa. Mbona umefananisha vitu viwili tofauti Mkuu.Utakuwa mtu wa ajabu sana kama mtu atakusimamia kuanzia dakika ya kwanza hadi ya 45 bila kupiga goli, unaomba mapumziko ya dakika 15, anakuruhusu then mnaendelea hadi dakika ya 72 anapata bado (tens medy kagere!), alafu ww unaomba bao la pili!!!!!!???? Utakuwa MTU wa hatari sana! Huchoki?
Unaona sasa mimi nilivyo muungwana wala sikukutania ulivyopigwa kumi?
Wewe kamoja tu jamani unanitoa roho?
Hahaaaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtani Unaendeleaj?Hahahàaa. Mbona umefananisha vitu viwili tofauti Mkuu.
Hawapo wanaume wa hivyo bana hasa huko Dsm.
Sijambo kabisa Mtani. Habari ya wewe?
Me frsh utakua unanipa matokeo ya SimbaaaaSijambo kabisa. Habari ya wewe?
Naona leo mnashuka tena dimbani!
Hahahaaa. Usijali kabisa Mtani.
Najua nyie hamuwez kuacha kuifatilia SimbaHahahaaa. Usijali kabisa Mtani.
Hawa Tanesco wabaya sana yaani game za Simba basi umeme kwangu haukatiki.
Hivyo tulia Updates ntakuletea.
Kama nyie tu Mtani ambavyo hamuwezi kuacha kuifuatilia Yanga.
Me huwa siwafatilii sanaKama nyie tu Mtani ambavyo hamuwezi kuacha kuifuatilia Yanga.
Hiyo huwa ni 50/50
Mmh.
Duuh! Naiwe kweli.
Hahahaaaa, hizi timu siyo za watu wa dar tu. Hata sisi wa mikoani tumoHahahàaa. Mbona umefananisha vitu viwili tofauti Mkuu.
Hawapo wanaume wa hivyo bana hasa huko Dsm. 🙈
Hahaaa. Sawa MkuuHahahaaaa, hizi timu siyo za watu wa dar tu. Hata sisi wa mikoani tumo
Mbao wanakusalimiaHahaaa. Sawa Mkuu