Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Mwandishi wa makala ,JULIUS MAPUNDA katika makala yake ya leo kwenye gazeti la Tazama Tanzania anaona kitendo cha LHRC kupingana na kila jambo linalofanywa na serikali kutafsiri vibaya maana ya non-governmental organization. Anabainisha kuwa asasi kuwa si ya kiserikali haina maana ya kwamba iko kinyume na serikali , bali ni asasi ambayo inafanya kazi zake nje ya mfumo wa serikali. Pia asasi kuendesha shughuli zake nje ya mfumo wa serikali haina maana ya shuhuli za asasi kuendeshwa nje ya mfumo wa sheria lakini cha kushangaza LHRC imetafsiri vibaya maana ya kuwa non-governmental na imeamua kuwa anti-governental organization.
Binfasi nimefurahishwa sana na Makala hii hasa jinsi amabvyo Mwandishi amemkosoa HELLEN Kijo Bisimba kwa kauli yake alipoulizwa kwa nini kituo chake kinakuwa kimpya wakati badhi ya wanasiasa wanapotoa kauli zenye utata kama zile za kudai nchi NCHI HAITATATWALIKA na kukimbilia kumshataki Waziri Mkuu kwa kauli ya wapigeni. Katika majibu yake Bisimba alisema "Kituo chake hakimshtaki kila kiongozi wa siasa anapotoa kauli zenye mwelekeo wa kuhatarisha amani ya nchi". Mwandishi katika makala yake yake hii ameuliza kama LHRC inatetea haki za watanzania au inaendesha harakati za kisiasa.
Fuatilia makala hii, walau ujifunze kitu dhidi ya hawa hawa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu.
Binfasi nimefurahishwa sana na Makala hii hasa jinsi amabvyo Mwandishi amemkosoa HELLEN Kijo Bisimba kwa kauli yake alipoulizwa kwa nini kituo chake kinakuwa kimpya wakati badhi ya wanasiasa wanapotoa kauli zenye utata kama zile za kudai nchi NCHI HAITATATWALIKA na kukimbilia kumshataki Waziri Mkuu kwa kauli ya wapigeni. Katika majibu yake Bisimba alisema "Kituo chake hakimshtaki kila kiongozi wa siasa anapotoa kauli zenye mwelekeo wa kuhatarisha amani ya nchi". Mwandishi katika makala yake yake hii ameuliza kama LHRC inatetea haki za watanzania au inaendesha harakati za kisiasa.
Fuatilia makala hii, walau ujifunze kitu dhidi ya hawa hawa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu.