Leta tujadili

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,287
Reaction score
1,855
Haya wanajamvi nimeanzisha ka uzi kama kanavyojieleza hapa ni kwamba unaleta mada ambayo unafikiria /jambo unalotaka kulifanya la kisayansi lenye tija na manufaa kwa jamii .Halafu tunachangia mawazo mwisho wa siku utashuudia mwenyewe.kumbuka sisi wenyewe tunaweza na sisi ndo madesgner
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…