Remain faithful to god and your partner let his body be your temple enjoy the art of sex and intimacy .your husband is a helper from god .respect love is all what is needed
Umemaliza! Hawezi akawa best friend wako halafu anakaa na kina Asprin na Bigirita bar hadi saa nane usiku. Akifanya mchezo kama sio jf, basi walau fesibuku watakuwa best friend wako, that is kama wakina Bishanga watashindwa kukushawishi.
kumbe tupo tuliobahatika aisee. lakin it costs sana unapomfanya mume ama mke rafiki manake mwngi mko pamoja sms kwenye simu hadi 100 kwa siku, baa mko wote na hata mtu akitaka kuwaua anawaua wote yaani................lakini on the other hand ni raha sana manake muda wote huwaz kitu kingine zaid ya yakwenu and good enough mnaweza kupiga quick strides za development if you are friends manake muda mwingi mko pamoja mnajadili mambo yenu kwa nafasi.
Umemaliza! Hawezi akawa best friend wako halafu anakaa na kina Asprin na Bigirita bar hadi saa nane usiku. Akifanya mchezo kama sio jf, basi walau fesibuku watakuwa best friend wako, that is kama wakina Bishanga watashindwa kukushawishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.