Let Kagame Have a Third Term as President

Let Kagame Have a Third Term as President

Mkuu ninachokisema hapa ni kweli tupu,sijawahi kudanganya. Nimekaa Rwanda miaka mitano hata paka alipoitisha ile Reverendum I was in Rwanda. Walichokifanya maafisa wa polisi na jeshi ni kuwalazimisha watu kukubali muhura wa tatu wa paka tena kwa mtutu. Hayo maigizo anayoyafanya paka&co ni mbembwe tu. Kwa mazingira ya Rwanda na Burundi mtutsi hawezi kutawala kwa njia ya kidemikrasia, maana ukimsimamisha muhutu dhidi ya mtutsi kwenye uchaguzi expect no Tutsi will be elected kwanza kwa uhasama uliopo pili kwa uwingi wa wahutu dhidi ya watutsi.

Haya mambo ya Wahutu na Watusi inabidi yafike mwisho.
Kwasababu siku ambayo raisi Kagame anakuwa hayupo lazima kutachafuka tu.
Na mambo yote mazuri ambayo yamejengwa sasa yatapotelea hewani.
Hapa busara ya hali ya juu inahitajika sana.
 
Demokrasia gani mnayoifuata ninyi? Acha kudanganya watu,paka alilazimisha watu wampigie kura ya kumruhusu kugombea muhura wa tatu. Mlituma polisi wenu na wanajeshi kuwatisha RAIA ili wakubali,mliwashikia hadi bunduki na yeyote aliyeonekana mpinzani wa muhura wa tatu mlimuua.
Only clueless and IQ of 50 or below ndio wataamini your garbage and clearly ni ile tutsi hating thing inakusumbua
 
Mkuu msikilize huyu nguli wa siasa Shaka Ssali hapa.


Mkuu jMali nimemsikiliza Shaka lakini kuna mambo hajayaweka sawa.
Kwa mfano kusema kwamba Kagame ni mhanga wa The Hague (ICC) halina ukweli wowote.
Kwasababu ICC imeanza kufanya kazi mwaka 2002 na inasemekana Kagame alifanya makosa ya Uhalifu wa kivita miaka ya 90's.
Ukisoma zaidi Mkataba wa Roma (Rome Statute) Ibara ya 11 inasema wazi kabisa kwamba:

Article 11
Jurisdiction ratione temporis
1. The Court has jurisdiction only with respect to crimes committed after the entry into force of this Statute.


Hivyo basi raisi Kagame atakuwa amekwepa mkono wa sheria; na kama wanataka kumshitaki kwa makosa ya mauaji ya halaiki na uhalifu wa kivita mahakama sawia kabisa ni ile ya Rwanda (ICTR) kwa sasa hivi inaitwa MICT. Marehemu Professor Juan Mwaikusa kabla hajauwawa alikuwa wakili akiwateteta Wahutu kule ICTR na alisema kwamba Kagame
naye amehusika kwenye mauaji ya halaiki na alikuwa mbioni kupeleka uthibitisho huo mahakamani.
Hivyo hapa Shaka Ssali hajaweka vigezo vya ICC sawia hata kidogo: ICTR ndiyo inamhusu.

Sikiliza pia wanyarwanda halisi achana na hawa "wanyambo" wa JF.


Huyu wa pili nimemuelewa vizuri kabisa kwasababu amesema kuwa Rwanda kuna upendeleo, Kama raisi Kagame anaongoza basia afanye kwa manufaa ya Wanyarwanda wote: Hapa yuko sahihi na namuunga mkono.
Mathalani kuna watu wanataka Kagame akae madarakani siyo kwa manufaa ya Rwanda nzima bali waendelee kunufaika na mfumo: Hili nalo pia nimemuelewa, anataka watu wote wanufaike.
Maoni mazuri na hayana ubaya wowote, kwasababu ni hatari sana watu kujihisi kama siyo wananchi kama wengine.
 
Only clueless and IQ of 50 or below ndio wataamini your garbage and clearly ni ile tutsi hating thing inakusumbua
It is you only who can't really concate with all the truth I am giving here. And it is because I m hiting on what you don't want to be disclosed.
 
Brother that's true waswahili muneno mrefu action zero
 
Mkuu jMali nimemsikiliza Shaka lakini kuna mambo hajayaweka sawa.
Kwa mfano kusema kwamba Kagame ni mhanga wa The Hague (ICC) halina ukweli wowote.
Kwasababu ICC imeanza kufanya kazi mwaka 2002 na inasemekana Kagame alifanya makosa ya Uhalifu wa kivita miaka ya 90's.
Ukisoma zaidi Mkataba wa Roma (Rome Statute) Ibara ya 11 inasema wazi kabisa kwamba:

Article 11
Jurisdiction ratione temporis
1. The Court has jurisdiction only with respect to crimes committed after the entry into force of this Statute.


Hivyo basi raisi Kagame atakuwa amekwepa mkono wa sheria; na kama wanataka kumshitaki kwa makosa ya mauaji ya halaiki na uhalifu wa kivita mahakama sawia kabisa ni ile ya Rwanda (ICTR) kwa sasa hivi inaitwa MICT. Marehemu Professor Juan Mwaikusa kabla hajauwawa alikuwa wakili akiwateteta Wahutu kule ICTR na alisema kwamba Kagame
naye amehusika kwenye mauaji ya halaiki na alikuwa mbioni kupeleka uthibitisho huo mahakamani.
Hivyo hapa Shaka Ssali hajaweka vigezo vya ICC sawia hata kidogo: ICTR ndiyo inamhusu.

Sikiliza pia wanyarwanda halisi achana na hawa "wanyambo" wa JF.


Huyu wa pili nimemuelewa vizuri kabisa kwasababu amesema kuwa Rwanda kuna upendeleo, Kama raisi Kagame anaongoza basia afanye kwa manufaa ya Wanyarwanda wote: Hapa yuko sahihi na namuunga mkono.
Mathalani kuna watu wanataka Kagame akae madarakani siyo kwa manufaa ya Rwanda nzima bali waendelee kunufaika na mfumo: Hili nalo pia nimemuelewa, anataka watu wote wanufaike.
Maoni mazuri na hayana ubaya wowote, kwasababu ni hatari sana watu kujihisi kama siyo wananchi kama wengine.

hahhhahhha, hivi hata sura haikuonyeshi kama mzee kapinda? so MALCOM LUMUMBA you have allowed your self to be trapped by these kind of nonsensical sound bytes? here is a whole clip this self proclaimed philosopher professing outcry about Rwanda and Rwandans should be shaming those who claim that no one in Rwanda is free to criticize His Excellence or the Leadership, they interviewed him in Rwanda and walked out freely from that studio in Kigali... anajifanya kumpenda Mzee wakati anamichuki binafsi na ndugu zake alafu anaichanganya na siasa? you seem to forget the people we deal with in this forum... despicable or sometimes even heinous comments are their daily life! some of them pretend to love us so much and propose a TRIAL & ERROR which costed Tanzania 30 yrs to come up with a leader like His Excellency Magufuli! no thanks, we have one and that is it... until other wiser
 
Mkuu jMali nimemsikiliza Shaka lakini kuna mambo hajayaweka sawa.
Kwa mfano kusema kwamba Kagame ni mhanga wa The Hague (ICC) halina ukweli wowote.
Kwasababu ICC imeanza kufanya kazi mwaka 2002 na inasemekana Kagame alifanya makosa ya Uhalifu wa kivita miaka ya 90's.
Ukisoma zaidi Mkataba wa Roma (Rome Statute) Ibara ya 11 inasema wazi kabisa kwamba:

Article 11
Jurisdiction ratione temporis
1. The Court has jurisdiction only with respect to crimes committed after the entry into force of this Statute.


Hivyo basi raisi Kagame atakuwa amekwepa mkono wa sheria; na kama wanataka kumshitaki kwa makosa ya mauaji ya halaiki na uhalifu wa kivita mahakama sawia kabisa ni ile ya Rwanda (ICTR) kwa sasa hivi inaitwa MICT. Marehemu Professor Juan Mwaikusa kabla hajauwawa alikuwa wakili akiwateteta Wahutu kule ICTR na alisema kwamba Kagame
naye amehusika kwenye mauaji ya halaiki na alikuwa mbioni kupeleka uthibitisho huo mahakamani.
Hivyo hapa Shaka Ssali hajaweka vigezo vya ICC sawia hata kidogo: ICTR ndiyo inamhusu.

Sikiliza pia wanyarwanda halisi achana na hawa "wanyambo" wa JF.


Huyu wa pili nimemuelewa vizuri kabisa kwasababu amesema kuwa Rwanda kuna upendeleo, Kama raisi Kagame anaongoza basia afanye kwa manufaa ya Wanyarwanda wote: Hapa yuko sahihi na namuunga mkono.
Mathalani kuna watu wanataka Kagame akae madarakani siyo kwa manufaa ya Rwanda nzima bali waendelee kunufaika na mfumo: Hili nalo pia nimemuelewa, anataka watu wote wanufaike.
Maoni mazuri na hayana ubaya wowote, kwasababu ni hatari sana watu kujihisi kama siyo wananchi kama wengine.


Kwenda Hague in particular inaweza kuwa ngumu kwa kuwa Rwanda sio member, lakini Kagame hana kesi moja. Kama sikosei kwa sasa hivi ziko kesi at least tatu worldwide including US ambazo hawezi kushitakiwa kwa kuwa ana presidential immunity. Vile vile kwenye suala la Hague sijui sheria inasemaje, lakini kagame ndio mhusika mkuu wa masuala ya DRC ya waasi, DRC ni member wa ICC..sijui endapo atatiwa hatiani halafu akawa sio rais wa Rwanda hatapelekwa?
kuhusu huyo jamaa wa pili pointi yangu ni kuwa watu walilazimishwa kusign. Usisahau kuwa Rwanda inasema kwenye zoezi hilo ni WATU 10 TU NCHI NZIMA ndio waliotoa maoni kuwa Kagame asigombee tena! Wakati huo huo kuna vyama vya upinzani vinavyopinga hilo jambo, je hivyo vyama vina wanachama wangapi kwa ujumla? Kichekesho hiki.
 
Kwenda Hague in particular inaweza kuwa ngumu kwa kuwa Rwanda sio member, lakini Kagame hana kesi moja. Kama sikosei kwa sasa hivi ziko kesi at least tatu worldwide including US ambazo hawezi kushitakiwa kwa kuwa ana presidential immunity. Vile vile kwenye suala la Hague sijui sheria inasemaje, lakini kagame ndio mhusika mkuu wa masuala ya DRC ya waasi, DRC ni member wa ICC..sijui endapo atatiwa hatiani halafu akawa sio rais wa Rwanda hatapelekwa?
kuhusu huyo jamaa wa pili pointi yangu ni kuwa watu walilazimishwa kusign. Usisahau kuwa Rwanda inasema kwenye zoezi hilo ni WATU 10 TU NCHI NZIMA ndio waliotoa maoni kuwa Kagame asigombee tena! Wakati huo huo kuna vyama vya upinzani vinavyopinga hilo jambo, je hivyo vyama vina wanachama wangapi kwa ujumla? Kichekesho hiki.
ah jMali tumerudi kulekule kwenye mambo ya kizushi ya kutaka kuloga watu hapa JF! hayo ya ICC hayatuhusu, mtajuana nao! lakini je, kwani haujuwi maana ya petition? kwenye nchi ambayo ndio iko kwenye njia ya maendeleo, ambayo idadi yake kubwa ni wakulima utawapata wapi? kwenye mtandao? au utaenda nyumba kwa nyumba kutafuta maoni yao? sasa kulazimishwa inakujaje hapo? labda kama utaniambia walishikiwa bunduki, lakini nayo itabidi uje na ushahidi sio kuleta story za kizushi!
we kweli muuza sumu mkuu hapa JF! watu kumi nchi zima, kweli? hapo watakao kuamini ni wachovu kama kina JustDoItNow na Masunga Maziku umeshindwa nini kuwaambia kama hao watu kumi ni wale members wa Green Party(GP) badirika ndugu, jaribu kuwa unakuja na vitu kamili basi kusudi mjadala uwe wakujenga na sio bomoa...
 
hahhhahhha, hivi hata sura haikuonyeshi kama mzee kapinda? so MALCOM LUMUMBA you have allowed your self to be trapped by these kind of nonsensical sound bytes? here is a whole clip this self proclaimed philosopher professing outcry about Rwanda and Rwandans should be shaming those who claim that no one in Rwanda is free to criticize His Excellence or the Leadership, they interviewed him in Rwanda and walked out freely from that studio in Kigali... anajifanya kumpenda Mzee wakati anamichuki binafsi na ndugu zake alafu anaichanganya na siasa? you seem to forget the people we deal with in this forum... despicable or sometimes even heinous comments are their daily life! some of them pretend to love us so much and propose a TRIAL & ERROR which costed Tanzania 30 yrs to come up with a leader like His Excellency Magufuli! no thanks, we have one and that is it... until other wiser

Haahaaa Mchambawima huwa nafurahi sana ambavyo mnabishana na Jmali.
Yote tisa mkuu, watu waseme, waruke au wakae kwenye sauti ya mwisho kabisa kuhusu hatma ya Rwanda ni Wanyarwanda mwenyewe.
 
ah jMali tumerudi kulekule kwenye mambo ya kizushi ya kutaka kuloga watu hapa JF! hayo ya ICC hayatuhusu, mtajuana nao! lakini je, kwani haujuwi maana ya petition? kwenye nchi ambayo ndio iko kwenye njia ya maendeleo, ambayo idadi yake kubwa ni wakulima utawapata wapi? kwenye mtandao? au utaenda nyumba kwa nyumba kutafuta maoni yao? sasa kulazimishwa inakujaje hapo? labda kama utaniambia walishikiwa bunduki, lakini nayo itabidi uje na ushahidi sio kuleta story za kizushi!
we kweli muuza sumu mkuu hapa JF! watu kumi nchi zima, kweli? hapo watakao kuamini ni wachovu kama kina JustDoItNow na Masunga Maziku umeshindwa nini kuwaambia kama hao watu kumi ni wale members wa Green Party(GP) badirika ndugu, jaribu kuwa unakuja na vitu kamili basi kusudi mjadala uwe wakujenga na sio bomoa...
Ahahahha, mzee wa sumu mbona unapanic? shida nini? yeye ametoa views zake. Sasa wewe mbona unatokwa kamasi namna hiyo?.......LOL
 
Keep on pretending to be while you are not.

Kwanini niwe mnafiki kwenye hili jukwaa ambalo hata mtu hatujuani wala kuonana?Kweli Is it worth it mkuu wangu?
No need to hate, i was just saying what i saw with you comments; samahani kama nimeeleweka vibaya.
 
Mkuu ninachokisema hapa ni kweli tupu,sijawahi kudanganya. Nimekaa Rwanda miaka mitano hata paka alipoitisha ile Reverendum I was in Rwanda. Walichokifanya maafisa wa polisi na jeshi ni kuwalazimisha watu kukubali muhura wa tatu wa paka tena kwa mtutu. Hayo maigizo anayoyafanya paka&co ni mbembwe tu. Kwa mazingira ya Rwanda na Burundi mtutsi hawezi kutawala kwa njia ya kidemikrasia, maana ukimsimamisha muhutu dhidi ya mtutsi kwenye uchaguzi expect no Tutsi will be elected kwanza kwa uhasama uliopo pili kwa uwingi wa wahutu dhidi ya watutsi.
Complete lying imbecile
 
Complete lying imbecile
huyo kichaa hadi anatia kichefuchefu! ukabila ndio dini yake! hata uwe na sifa zote za uongozi halafu usiwe kabila lake, basi hapo yani ujue kura yake hauipati ng'o! eti bora ampe chizi mwenzake kwa sababu ya ukabila tu! Duh... tabu kwelikweli...
 

Rwandan President Paul Kagame

Rwanda, a name indelibly associated with the genocide of as many as 1 million people, is today a beacon of hope on the African continent — in large part due to the leadership of President Paul Kagame. After his election as President in 2000, he vowed to heal the country, promote good governance, advance human development, and pursue an economic vision that would make Rwanda a middle income country by 2020.

He initiated the drafting of a constitution to enshrine pluralistic governance and democracy. He grew the service sector, from banking and finance to trade, medical services, and tourism.

Acting on the conviction that women’s empowerment is essential to national development, Kagame instituted a quota system in parliament to guarantee them a minimum number of seats. Today, via transparent elections, women have far exceeded the quota by simple winning at the polls. They now hold 64 percent of the country’s parliamentary seats, the highest proportion of any parliament in the world.

Perhaps of greatest significance to a nation bloodied by its recent past, Kagame has achieved a model of post-conflict justice and reconciliation that is on par with that of post-Apartheid South Africa. After the genocide. he revived the country’s traditional “Gacaca” community courts and deputized them to try over a million = suspects.

The courts were mandated to grant lenient sentences, to be commensurate with the defendants’ degree of remorse and sharing of truth and therefore closure to the victims’ families. Meanwhile, Kagame steered the “National Unity and Reconciliation Commission” to offer peace education, inculcate liberal egalitarian values, provide trauma counseling, and, above all, promote just, transparent, democratic institutions capable of helping to defeat the conditions that lead to civil conflict.

In Kagame’s view, national reconciliation ultimately rests with the population itself. As he told an audience at the Wharton School of the University of Pennsylvania recently, all the peace-building projects his government has built carried an underlying message to Rwandan citizens: “You are part of this. Ensuring your security isn’t going to be achieved by somebody doing it for you.

You need to participate and ensure that you give security to others and you can expect that others will give security to you.” Praised for his role in supporting the effort, he said it would be follow for him or other Rwandans to rest on their laurels: We have built a very firm foundation, but then you have to build on top of that. We are now in the phase of building on the foundation. The foundation is there: people understand the reason to get along and to give and take. They understand that not everything will be rosy and not all people will be satisfied, but there will be a balance that allows us to move forward.”

Over time, Rwanda has become one of the fastest growing economies in the world, achieving an average of more than 8 percent growth over the 16 years Kagame has held the reigns. The wealth, moreover, is far more evenly distributed than the many kleptocracies on the content where impressive GDPs mask massive graft and a hoarding of wealth to the privileged few: In health and education, Rwandans are benefiting from the country’s new resources and capacities. Poverty, still alarmingly present, has nonetheless been significantly reduced.

Small wonder, as the President’s second term draws to a close this year, that the population has called for the immensely popular Kagame to run for a third. A constitutional amendment making it legal has sailed through parliament and won majority popular support in a national referendum. Kagame has signaled that he will run, win, and accept the popular mandate.

Yet he is is facing international pressure to refrain from running for a third term of office. Earlier this year, upon receiving word of Kagame’s likely third bid for the Presidency, the U.S. State Department said it was “deeply disappointed,” and warned that it would likely “weaken democratic institutions.” America’s UN Ambassador, Samantha Power, stated that she “expect
President Kagame to step down at the end of his term in 2017.” The European Union, for its part, was no less emphatic: EU foreign policy chief Federica Mogherini declared that the move “weakens the credibility of the constitutional reform process, as it undermines the principle of democratic change of government.”

But defenders of Kagame see a double standard underlying the international campaign against his third term. For example, Germany, from which much of the pressure comes, is itself currently led by a Chancellor serving her third term in office. In the U.S., Senators and Congresspeople serve without term limits, and the American Presidential term limit is still a relatively recent development: Over four consecutive terms, Franklin Delano Roosevelt ably led the country through the Great Depression and Second World War. There is a feeling of Rwanda that Kagame is the nation’s “Roosevelt,” and his leadership is sorely needed at a critical moment for the country. Yet outsiders would deny the population their preferred candidate.

At the same time, Kagame is not without his international supporters. Earlier this year at the World Economic Forum in the Rwandan capital Kigali, American businessman and philanthropist Howard Buffett wholeheartedly endorsed a Kagame third term. Buffett, himself vested in Rwanda, said, “If I didn’t think president Kagame was going to be here for another seven years,” he said, “we wouldn’t even consider doing some of the things we’re trying to do.” Former British Prime Minister Tony Blair, himself a three-term head of state, lent his voice in support of a Kagame third term as well.

Among Kagame’s international boosters, a pattern emerges: They are supporters of the traditional “Pax Americana” who recognizes that he has been promoting liberal universalist principles and good governance within his country. They are also know that he has been a friends to American and British entrepreneurs and companies as they strove to make their way into African markets. Rwanda is one of Israel’s closest friends on the African continent to boot. And last Tuesday evening, Moroccan King Mohammed VI came to the Rwandan capital Kigali for a series of meetings with Kagame and senior officials. The two leaders signed more than two dozen bilateral agreements to deepen trade, investment, and cooperation for governmental reforms and human and economic development.

From the standpoint of the Moroccan monarch, boosting relations with Rwanda falls into a broader vision of Morocco as a guarantor of peace and development across the continent and a bridge between the continent and Morocco’s staunch American and European allies. The king went to great lengths to voice his appreciation for Kagame’s leadership.

It is incumbent on Kagame to nurture new leadership in Rwanda, thereby ensuring that the institutions he has played a vital role in building will eventually run smoothly without him.

But there is no reason why, after a stunningly successful run as leader and healer-in-chief and overwhelming popular support for his continued leadership, he should bow to pressure from outsiders powers to retire. His country needs him, the African continent needs him, and the world needs him.
Source: Huffington Post

You are to some extent right but you have forgotten one crucial fact. The fact is that Kagames are rare in young states. So the states would be expected to change their constitutions depending on the kind of leaders in power. Suppose a certain leader who suppresses his subjects turns out to be an autocrat, how would the situation be peacefully handled? It is common for leaders to tamper with constitutions, assumed to be main national laws, to enable them to remain in power.
 
Back
Top Bottom