kitoto wa vitoto
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 360
- 386
Nawasalimu kwa lugha moja ndugu zangu.
Katika pilika za kusaka maisha nimefungua biashara yangu ndogo duka la mangi Ila changamoto inayonisumbua ni Hawa wakaguzi wa vileo mtaani.
Naombeni msaada jinsi ya kupata leseni moja itakayoniruhusu kuuza mahitaji pamoja na pombe hizi local kama diaondi, konyagi k vant nk
Mwenye kufahamu naomba aniambie na leseni hiyo ni Bei gani!
Natanguliza shukurani
Asanteni.
Katika pilika za kusaka maisha nimefungua biashara yangu ndogo duka la mangi Ila changamoto inayonisumbua ni Hawa wakaguzi wa vileo mtaani.
Naombeni msaada jinsi ya kupata leseni moja itakayoniruhusu kuuza mahitaji pamoja na pombe hizi local kama diaondi, konyagi k vant nk
Mwenye kufahamu naomba aniambie na leseni hiyo ni Bei gani!
Natanguliza shukurani
Asanteni.