Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Mtaalamu wa saikolojia, Leonard Mgina, amesema kuwa ndoa siyo jambo linalofaa kwa kila mtu, akisisitiza kuwa baadhi ya watu wameumbwa kuishi maisha ya upweke (single) kutokana na tabia zao.
Akizungumza katika mahojiano na Nurudigital Mgina ameeleza kuwa kuna watu ambao, kwa asili ya mienendo yao, hawafai kuishi na wengine wala kuwa katika mahusiano ya karibu kama ndoa. amengeza kuwa watu wa aina hiyo wanapaswa kuishi peke yao ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza.
Credit: Nuru Fm Iringa
Akizungumza katika mahojiano na Nurudigital Mgina ameeleza kuwa kuna watu ambao, kwa asili ya mienendo yao, hawafai kuishi na wengine wala kuwa katika mahusiano ya karibu kama ndoa. amengeza kuwa watu wa aina hiyo wanapaswa kuishi peke yao ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza.
Credit: Nuru Fm Iringa