Leo umeme wametuachia, vipi ulipo upo?

Leo umeme wametuachia, vipi ulipo upo?

nimelala nao ila itabidi niulizie tanesco maana si kawaida umeme kukaa muda mrefu bila kukatika
 
poleni sana mkuu pia vumilieni kidogo maana gesi imeshaanza kutengeneza umeme kinyerezi one. Muda si mrefu mambo yatakua vizuri i hope so

mkuu naona serikali inawapendelea nyie wa dsm...maana nasikia hamna mgao!
 
Ni ajabu kwangu hadi muda huu hawajaukata,kweli mwalimu anaheshimika na kila mtu hadi wazee wa kumulika maisha yetu wamejitahidi kumuenz kwa kutuachia huduma yao,vip wakuu huko kwenu upo leo hawajaukata?
piga emergency waulize
 
hapa nilipo tunazini tu mchana wa jua kali sababu feni zinafanyakazi saa 24 tangu magufuli apge mkwara kwa wanaokata umeme kule arusha

Halafu ninyi watenda zambi ndo mnapewa umeme sisi wema twaacha ka tulivyo,kweli dunia hii si sawa
 
Back
Top Bottom