SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,033
Ni ajabu kwangu hadi muda huu hawajaukata,kweli mwalimu anaheshimika na kila mtu hadi wazee wa kumulika maisha yetu wamejitahidi kumuenz kwa kutuachia huduma yao,vip wakuu huko kwenu upo leo hawajaukata?