Mimi mwenyewe pro, hata shemeji yako ajue kupika vipi siwezi kuwa na stress maana hawezi kunizidi katu!Hivyo ndo wanaume wengi tunavyojisikia tukiwaona wanawake mnaenda kazini.
Hatuna namna, dunia inakimbia.
Wataolewa tu kujua kupika sio kwamba sito oaInakuwaje mwanaume unajipikilisha?
Dada zetu unataka waolewe na nani?
Karibu kwangu uleKwamim narudia Kwa mim sipend kula chakula alichopika mwanaume labda awe mtaalam wa mapish bila Ivo sili hata unishikie fimbo [emoji849]
hajaamua tu, anakusitiriMimi mwenyewe pro, hata shemeji yako ajue kupika vipi siwezi kuwa na stress maana hawezi kunizidi katu!
Wanaaogopa ni wasiojua kupika.
Wewe bado mdogo, subiri ukue ndio utajua umuhimu wa mwanamke kufanya kazi mdogo wangu.
Karibuuu
Dah ila mshamba ase 😂hajaamua tu, anakusitiri
sisi ni suala la kuamua tu, hatuhitaji kuwezeshwa
Ebooo...Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home
Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu
View attachment 3218744
Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress
View attachment 3218747
Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
View attachment 3218749
Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
View attachment 3218751
Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda
View attachment 3218752
Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu
View attachment 3218753
Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta
View attachment 3218754
Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo
View attachment 3218755
Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
View attachment 3218756 Weka kimoja kimoja usiwe na haraka hapo njaa ishakata nikaona nimeshiba nikasema uhu ndio mlo wangu wa jioni
View attachment 3218757
Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi
View attachment 3218758
Sawa Half american
Mimi hivi vitu hapana siviwezi..Nime
imagine hiyo nyama, na hivyo viazi plus viungo ningetoa roast la nyama na ugali fasta plus Heineken mbili za baridii......
Hivyo vitu sijawahi vielewa, sjui pizza burger.....
Ila mwamba Mwachiluwi hongera aseeh 👊
BRAZA CHOGO umepotelea wapi we mzee wa kike!
SECRETARY BIRD
Poor Brain
zerominus10
Hayo masotojo ndo yenyeweMimi hivi vitu hapana siviwezi..
Mi napenda ugali na dagaa rost
Mi napenda wali nazi na marage nazi
Mi napenda wali nazi na samaki nazi
Mi napenda mashangazi
Napenda kashangazi
Napenda wale wadada wenye makalio makubwa
Kutokuoa ni dalili ya uchoyo; kuna wadada humu wameshindia mahindi ya kuchoma wanakutazama tu.Wataolewa tu kujua kupika sio kwamba sito oa
Umetamani 😛Uko vizuri sana
Sana 😅😅😅Umetamani 😛
Thank yuuuuKaribuuu
Na maziwa mgando umesahauMimi hivi vitu hapana siviwezi..
Mi napenda ugali na dagaa rost
Mi napenda wali nazi na marage nazi
Mi napenda wali nazi na samaki nazi
Mi napenda mashangazi
Napenda kashangazi
Napenda wale wadada wenye makalio makubwa
Lakin sio Ivo vitafunwa halafu ndo chakula Cha usiku [emoji3] hapana nitahesabu misumar usikuKaribu kwangu ule
Migahawani mbona kuna wapishi wengi sana wa kiume. Au wewe hauli kwenye migahawa?Kwamim narudia Kwa mim sipend kula chakula alichopika mwanaume labda awe mtaalam wa mapish bila Ivo sili hata unishikie fimbo [emoji849]
Bora waniuwe ila sio kunywa hayo madude.Na maziwa mgando umesahau
Ndo hao wataalam ila sio mtu ambaye anakuja kufanya majaribio ya kupika halaf nile wanaume wengi sio wapenz na mambo ya jikonMigahawani mbona kuna wapishi wengi sana wa kiume. Au wewe hauli kwenye migahawa?