Leo tule catress na juice

Hivyo ndo wanaume wengi tunavyojisikia tukiwaona wanawake mnaenda kazini.

Hatuna namna, dunia inakimbia.
Mimi mwenyewe pro, hata shemeji yako ajue kupika vipi siwezi kuwa na stress maana hawezi kunizidi katu!
Wanaaogopa ni wasiojua kupika.

Wewe bado mdogo, subiri ukue ndio utajua umuhimu wa mwanamke kufanya kazi mdogo wangu.
 
Ebooo...

Sasa si uje unipikie hizo catress weekend kisha tuchafue matress
 
Mimi hivi vitu hapana siviwezi..
Mi napenda ugali na dagaa rost
Mi napenda wali nazi na marage nazi
Mi napenda wali nazi na samaki nazi
Mi napenda mashangazi
Napenda kashangazi

Napenda wale wadada wenye makalio makubwa
 
Mimi hivi vitu hapana siviwezi..
Mi napenda ugali na dagaa rost
Mi napenda wali nazi na marage nazi
Mi napenda wali nazi na samaki nazi
Mi napenda mashangazi
Napenda kashangazi

Napenda wale wadada wenye makalio makubwa
Hayo masotojo ndo yenyewe
 
Na maziwa mgando umesahau
Bora waniuwe ila sio kunywa hayo madude.
Sitowahi na sitajaribu maisha yangu yote kunywa huo mtindi

Sipendi maziwa mgando
Sipendi maziwa mtindi
Sipendi maziwa yaliyooza

Mkuu labda umenifananisha na huyu jamaa ERoni huyu ndo yupo radhi kugombana na watu humu kisa tuu kazungumzia maziwa vibaya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…