Leo nimetua DSM baada ya likizo

Leo nimetua DSM baada ya likizo

baro

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,328
Reaction score
4,516
Kama kichwa cha habari kisemavyo , Leo nimetua dsm baada ya kutoka mapumzikoni huko magharibi mwa afrika

Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,

Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza

Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na pale katika kuijenga Tanzania ya viwanda .
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo , Leo nimetua dsm baada ya kutoka mapumzikoni huko magharibi mwa afrika

Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,

Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza

Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na pale katika kuijenga Tanzania ya viwanda .
Mutu isiyojulikana hii!
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo , Leo nimetua dsm baada ya kutoka mapumzikoni huko magharibi mwa afrika

Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,

Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza

Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na pale katika kuijenga Tanzania ya viwanda .
Hahhahahaaaaaaaa ndugu Mimi nikushauli kitu ulipokanyaga tu bogo ulikuta watu mi nadhani ungeanza nahao kwanza kujadili kuhusu hiyo Tanzania ya viwanda,isitoshe wewe kama vile nilikuonaga KIBITI au nimekufananisha.
 
Akhaa! Mie sitaki. Alikuja rafiki yangu mmoja kutoka Japan tukakaa naye bado ana mawazo ya kitoto kitotooo! Yani aliniboa nikajuta hata kumit naye... Bongo tunaishi kiume, we najua utakuwa umerudi na story za kusadikika tu!
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo , Leo nimetua dsm baada ya kutoka mapumzikoni huko magharibi mwa afrika

Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,

Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza

Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na pale katika kuijenga Tanzania ya viwanda .
haujatafuta totoz ?
 
Hahhahahaaaaaaaa ndugu Mimi nikushauli kitu ulipokanyaga tu bogo ulikuta watu mi nadhani ungeanza nahao kwanza kujadili kuhusu hiyo Tanzania ya viwanda,isitoshe wewe kama vile nilikuonaga KIBITI au nimekufananisha.
anadika vzuri bas
 
Back
Top Bottom