baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,328
- 4,516
Kama kichwa cha habari kisemavyo , Leo nimetua dsm baada ya kutoka mapumzikoni huko magharibi mwa afrika
Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,
Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza
Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na pale katika kuijenga Tanzania ya viwanda .
Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,
Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza
Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na pale katika kuijenga Tanzania ya viwanda .