Leo nimetembelea Addis Ababa

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,213
Reaction score
9,334
Wakuu nipo Addis Ababa, hapa nimekuja kumtembelea shemeji/wifi yenu, walahi nawaambia sikutegemea wala sikufikiria kukuta maendeleo kama haya.

Jiji limejipanga hata flyovers za kueleweka, halafu kuna hizi treni sijui za umeme manake nashindwa hata niwaelezeje, wenzetu National Housing zao zipo za watu wa hali ya chini pia.

Jamani Addis Ababa ni shughuli nyingine.

Jiji safi sana, aise hivi Tanzania imekosa nini hadi kila kitu kishindikane?

Picha zinakuja soon.
 
weka na picha za warembo wa addis tafadhali
 
Rastafarian wanapapenda sana hapo
 
hapa afrikast wakumwaga,mashombeshombe tuu,sijui mungu kawa umbaje,wazungu si wazungu,waarabu si waarabu,waafrika si waafrika,halafu hawana matiti makubwa kama dada zetu wa tz

....ha ha ha wee falcon mombasa karibu KARATU !!!
 
Pamojaa naa hali hio nzuri ta uchumi wanainchi wake ni masikini sanaa

Uchumi umekaliwa na serikali tuu
 
Hiyo picha imenipa picha unavyotumbua majipu huko. Je kuna sehemu kali kama Casablanca au Florida ya kisiwa chetu pendwa nchini Kenya ?
Siongelei Casablanca kwa pale ghorofani NO pale chini penye air condition na kiingilio, pale kwenye mabinti watatu wanao kata rhumba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…