Reaction yake ilikuwaje..?? Pia utakuwa umemfundisha usaliti kuanzia leo.. Aisee nakupa pole sana unajua kwa nn?? Wherther akireact au hatorect,, wanawke huwa hawasamehi anapothibitisha doughts zake kuhusu usaliti wa mwme... Na leo amethibitisha..utamuomba radhi atasema kakusamehe bt no. Then women baada ya kuthibitisha kama ilivotokea leo lazima wa revange,, c unajua anatongozwa kila cku??amewakataa kwakuwa alikuamini... Mbaya zaidi cc tukichit mostly huwa ni kuosha rungu tu..hakunaga mapenzi,, bt wao wanahamisha upendo wote na ukibahatika kumkuta analiwa unaweza kulia, anajiachia (anajisusa) jamaa atakaepata hiyo bahati atamfanyia chchote anachotaka.. Pole sana jembeee, ila na ww jembe umeniangusha, whyyyy?? Ungenunua kulekule.. Nway saivi jaribu kuapologize tu japo nina wasiwasi haitawork daah pole ndugu lazima alipe ndo kinachoniumiza akili.... Nimechanganyikiwa utadhani me ndo mhusika.