Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,887
Kiukweli mpenzi wangu nilimpenda bali nilikuwa mbali naye. Ila nilichogundua sikuwa serious basi Leo kaenda na kilichoniponza ni kuwa humu nachat chat umbea, na umbea huu umeniharibia penzi la kudumu.
Ila kwangu ni poa sina cha kufanya huenda hakuwa wangu alikuwa wajirani. Ila Mungu yupo nitaolewa na huyu mpakistani tu sina jinsi nilichezea dodo lililoiva na kudondokea kwangu nipo serious nilimpenda.
Ila kwa leo nimelimwa rato, Sasa mie single tena kwa hapa Tanzania
Nashangaa tu.
Nahesabu mabati.
Ila kwangu ni poa sina cha kufanya huenda hakuwa wangu alikuwa wajirani. Ila Mungu yupo nitaolewa na huyu mpakistani tu sina jinsi nilichezea dodo lililoiva na kudondokea kwangu nipo serious nilimpenda.
Ila kwa leo nimelimwa rato, Sasa mie single tena kwa hapa Tanzania
Nashangaa tu.
Nahesabu mabati.