Jamaa anaingia bandani anawakamata kama kuku tu! Issue huwa ni kwenye banda la cobra, ukiona anavyowafukuza na kuwadaka unaweza kutoka nduki!!!Huyo mfugaji yuko wapi?Je anawakamata vipi na kuwachinja hao nyoka??Manake vitu vingine havitakagi ujuaji
unaweza wewe mwenyewe ndo wakakugeuza kitoweo chao😀😀😀😀Huyo mfugaji yuko wapi?Je anawakamata vipi na kuwachinja hao nyoka??Manake vitu vingine havitakagi ujuaji
Sidhani kama ni wote, Sie tuliomba edible snakes tukapewa huyoKwani ni aina zote za nyoka uliwa au ni baadhi tu? Na kama ni aina zote vipi kwa wale wenye sumu kali sumu yao uondolewaje ili hicho kitoweo kiwe salama?
Kwenye ufugaji kama huna utaalamu inataka moyo aisee... Midude mingine inatishaunaweza wewe mwenyewe ndo wakakugeuza kitoweo chao😀😀😀😀
Wakina nani?Ngoja waje
Asprin kuna nyoka ni very friendly hata zaidi ya njiwa. Unaweza kutembea nae hata mfukoni. Sema sura tu, wengine balaaAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Asprin kuna nyoka ni very friendly hata zaidi ya njiwa. Unaweza kutembea nae hata mfukoni. Sema sura tu, wengine balaaAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Supu ya nyoka ni too common huku, si kitu cha kushangaza. Mbona Kongo wanakula vyura, nyoka, nyani, minyoo n.k na ni kawaida while Tz tunawashangaa?Kwahyo Muda wa kwenda kuchagua kitoweo hukuona haja ya kupiga picha enhee?
Mkuu acha tu nipitwe... hiyo makitu nikionana nayo ni ama zake ama zangu... Mmoja wetu lazima afe au aingie mitini kwa usalama wake...Asprin kuna nyoka ni very friendly hata zaidi ya njiwa. Unaweza kutembea nae hata mfukoni. Sema sura tu, wengine balaa
Asprin kuna nyoka ni very friendly hata zaidi ya njiwa. Unaweza kutembea nae hata mfukoni. Sema sura tu, wengine balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungetaka niamini ungeniwekea picha yako uko mezani unakula mishkaki ya nyoka huku ukishushia na supu ya mkia wa nyoka