Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,210
- 5,680
Wadau kama hatukuomba idhini ya kuja duniani basi pia hatuna idhini ya kuomba kuondoka kwa matakwa yetu.. Bali yake yeye aliye mkuu wa vyote...
Hali ni mbaya kwa mambi mengi, rasilimali wanaume kwa sasa inapotea indirect ila itafika wakati wanaume watakuwa adimu sana hadi wakipta njiani watashangawa
Hali ni mbaya kwa mambi mengi, rasilimali wanaume kwa sasa inapotea indirect ila itafika wakati wanaume watakuwa adimu sana hadi wakipta njiani watashangawa