Jiang Ze Dong
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 314
- 851
Salaam wanabodi kwa hakika binadamu wengi wanaamini mtu aliyesoma sana kuwa ndo anajua kila kitu na wenye elimu ndogo kudharaulika lakini sivyo kuna watu kwa hakika unajiuliza Mtu aliesoma akaishia Darasa la Saba anawezaje kumzidi fikra na ufahamu wa vitu vikubwa mtu mwenye elimu ya Chuo Kikuu.
Leo nimeangalia mahojiano ya Mbunge Joseph Kasheku maarufu Musukuma akimlaumu Mkurugenzi kununua gari la kifahari lenye thamani ya Tsh. Milioni 460 huku Wananchi wakihitaji huduma muhimu kama maji, afya, elimu na barabara hoja za Musukuma zote zinamashiko lakini Mkurugenzi katika kujitetea mbele ya wanahabari ndiyo nikagundua kuwa kusoma sana sio kuelimika kwa hakika huyu Mbunge kawazidi Wabunge wengi wasomi pale Bungeni.
Nawasilisha
Leo nimeangalia mahojiano ya Mbunge Joseph Kasheku maarufu Musukuma akimlaumu Mkurugenzi kununua gari la kifahari lenye thamani ya Tsh. Milioni 460 huku Wananchi wakihitaji huduma muhimu kama maji, afya, elimu na barabara hoja za Musukuma zote zinamashiko lakini Mkurugenzi katika kujitetea mbele ya wanahabari ndiyo nikagundua kuwa kusoma sana sio kuelimika kwa hakika huyu Mbunge kawazidi Wabunge wengi wasomi pale Bungeni.
Nawasilisha