Utopwinyo wanashangilia muda huu baada ya mwerevu mmoja kupost kwamba wamezishitaki TFF, bodi ya ligi & Simba sc ππ
Tangazo limechapishwa leo (sio na msemaji wa utopwinyo ) ila sasa utopwinyo fans wanatembea vifua wazi wakiimba kwamba watapewa goli na points 3πππ
Kati ya watanzania na utopwinyo fans nani kasherehekea/anashereheshwa foolish day??
Ubaya Ubwela haijawahi kushindwa kuwaingiza mkenge utopwinyo πππ€£