15 June.. Remember this date..
Hatujakumbukwa.. Basi nasi tusijisahau..Raha jipakulie mwenyewe hutajipunja
Una lolote la kumwambia baba yako? Liweke hapa kama kumbukumbu ya siku yake duniani
Sherehekea akina baba, babu, baba wa kambo na kumbukumbu za baba leo Juni 15 kwa matakwa makuu ya moyoπππ. Heshimu na tambua upendo, mwongozo, dhabihu na michango ya akina baba katika siku hii kuu
Nilikuwa sijui kwa nini Mzee ulinikazia kila Kona.
Ila Sasa naelewa ulitambua maisha sio mepesi na rahisi kwa Mwanaume.
Nimejifunza hakuna gumu lisilo na majibu kwa wagumu
Ulinifunza vyema, pumzika Mzee mtata kama ulivyopenda nikuite
Hebu leo mtakie Happy Father's day mumeo au baba wa watoto wako kama anawajibika kama baba wa familia....kama hawajabiki yaani hajui hata watoto wake wanalala wapi hebu weka emoji ya bomu π£π£ππ
Hebu leo mtakie Happy Father's day mumeo au baba wa watoto wako kama anawajibika kama baba wa familia....kama hawajabiki yaani hajui hata watoto wake wanalala wapi hebu weka emoji ya bomu π£π£ππView attachment 3369548