Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya chama chetu cha ACT wazalendo

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
610
1,540
6f11784983232cd8fbac9d067730bcd3.jpg
1ac2baafca7bedf1d41c627a0704e494.jpg
bf3a8997cf5c3d8f42d144c873f422f8.jpg

Siku kama ya Leo 5/5/1818 huko Trier Ujerumani alizaliwa Karl Marx. Hapa Tanzania 5/5/2014 kilizaliwa Chama Cha Siasa cha mrengo wa kushoto, Chama cha Wazalendo ( Act Wazalendo ).
Marx ni mmoja wa wanamapinduzi wachache Sana duniani ambao walifanya watu kuiona dunia Kwa jicho tofauti kabisa. Andiko lake linaloendelea kusomwa na kusomwa, kuchambuliwa na kuchambuliwa, ni Das Kapital.
ACT Wazalendo ni moja ya Chama cha siasa kinachojitahidi kubadilisha Kabisa namna ya kufanya siasa zetu hapa nchini na Afrika. Kufanya siasa za masuala, siasa za majawabu ya changamoto zetu, siasa za uwajibikaji. Sio kazi rahisi lakini tumedhamiria kuifanya.

Siasa za mrengo wa kushoto ( Ujamaa ) ni siasa za watu. Siasa za kutetea wanyonge. Siasa za ukombozi ( liberation). Siasa za Maendeleo ( developmental). Karl Marx aliweka msingi mkuu na ni wajibu wetu kutafsiri msingi huo kwa mazingira yetu.

Mwanazuoni mmoja alipata kuuliza, " Marx angezaliwa Sumbawanga " ingekuwaje? Angeandika Das Kapital ( The Capital ) ?
 
kumbe hiyo tarehe ya kuanzishwa chama cha ACT siyo kwa bahati mbaya, NOT coincidence na tarehe ya kuzaliwa ya Max.. ili kuhadaa eti idea za chama ni kama za max... BTW HBD
 
Boss ACT Wazalendo Samahani lakini, edit bandiko lako lisomeke, "Leo ni siku ya kukumbuka kuzaliwa Chama chetu Act Wazalendo". Hizi Small error zinaharibu maana halisi ya bandiko lako. Chama hakizaliwi leo, leo mnakumbuka kuzaliwa kwake.

Anyway, Hongereni sana Act Wazalendo. Kazeni Buti, wananchi tunataka kuona Vitendo. Acheni maneno maneno.

6f11784983232cd8fbac9d067730bcd3.jpg
1ac2baafca7bedf1d41c627a0704e494.jpg
bf3a8997cf5c3d8f42d144c873f422f8.jpg

Siku kama ya Leo 5/5/1818 huko Trier Ujerumani alizaliwa Karl Marx. Hapa Tanzania 5/5/2014 kilizaliwa Chama Cha Siasa cha mrengo wa kushoto, Chama cha Wazalendo ( Act Wazalendo ).
Marx ni mmoja wa wanamapinduzi wachache Sana duniani ambao walifanya watu kuiona dunia Kwa jicho tofauti kabisa. Andiko lake linaloendelea kusomwa na kusomwa, kuchambuliwa na kuchambuliwa, ni Das Kapital.
ACT Wazalendo ni moja ya Chama cha siasa kinachojitahidi kubadilisha Kabisa namna ya kufanya siasa zetu hapa nchini na Afrika. Kufanya siasa za masuala, siasa za majawabu ya changamoto zetu, siasa za uwajibikaji. Sio kazi rahisi lakini tumedhamiria kuifanya.

Siasa za mrengo wa kushoto ( Ujamaa ) ni siasa za watu. Siasa za kutetea wanyonge. Siasa za ukombozi ( liberation). Siasa za Maendeleo ( developmental). Karl Marx aliweka msingi mkuu na ni wajibu wetu kutafsiri msingi huo kwa mazingira yetu.

Mwanazuoni mmoja alipata kuuliza, " Marx angezaliwa Sumbawanga " ingekuwaje? Angeandika Das Kapital ( The Capital ) ?
 
Kwa jinsi Zitto anavyotenda sasa,ni vema kuwatakia Heri nyingi sana za kuzaliwa ACT.
##TT
 
6f11784983232cd8fbac9d067730bcd3.jpg
1ac2baafca7bedf1d41c627a0704e494.jpg
bf3a8997cf5c3d8f42d144c873f422f8.jpg

Siku kama ya Leo 5/5/1818 huko Trier Ujerumani alizaliwa Karl Marx. Hapa Tanzania 5/5/2014 kilizaliwa Chama Cha Siasa cha mrengo wa kushoto, Chama cha Wazalendo ( Act Wazalendo ).
Marx ni mmoja wa wanamapinduzi wachache Sana duniani ambao walifanya watu kuiona dunia Kwa jicho tofauti kabisa. Andiko lake linaloendelea kusomwa na kusomwa, kuchambuliwa na kuchambuliwa, ni Das Kapital.
ACT Wazalendo ni moja ya Chama cha siasa kinachojitahidi kubadilisha Kabisa namna ya kufanya siasa zetu hapa nchini na Afrika. Kufanya siasa za masuala, siasa za majawabu ya changamoto zetu, siasa za uwajibikaji. Sio kazi rahisi lakini tumedhamiria kuifanya.

Siasa za mrengo wa kushoto ( Ujamaa ) ni siasa za watu. Siasa za kutetea wanyonge. Siasa za ukombozi ( liberation). Siasa za Maendeleo ( developmental). Karl Marx aliweka msingi mkuu na ni wajibu wetu kutafsiri msingi huo kwa mazingira yetu.

Mwanazuoni mmoja alipata kuuliza, " Marx angezaliwa Sumbawanga " ingekuwaje? Angeandika Das Kapital ( The Capital ) ?
Kumbe ndo maana ACT kimedorora tangu mwanzo, yaani wanafuata itikadi za kizamani za Marx ambazo hata huko kwao zimesha tupwa ! Zitto kachemka vibaya Sana !!
 
6f11784983232cd8fbac9d067730bcd3.jpg
1ac2baafca7bedf1d41c627a0704e494.jpg
bf3a8997cf5c3d8f42d144c873f422f8.jpg

Siku kama ya Leo 5/5/1818 huko Trier Ujerumani alizaliwa Karl Marx. Hapa Tanzania 5/5/2014 kilizaliwa Chama Cha Siasa cha mrengo wa kushoto, Chama cha Wazalendo ( Act Wazalendo ).
Marx ni mmoja wa wanamapinduzi wachache Sana duniani ambao walifanya watu kuiona dunia Kwa jicho tofauti kabisa. Andiko lake linaloendelea kusomwa na kusomwa, kuchambuliwa na kuchambuliwa, ni Das Kapital.
ACT Wazalendo ni moja ya Chama cha siasa kinachojitahidi kubadilisha Kabisa namna ya kufanya siasa zetu hapa nchini na Afrika. Kufanya siasa za masuala, siasa za majawabu ya changamoto zetu, siasa za uwajibikaji. Sio kazi rahisi lakini tumedhamiria kuifanya.

Siasa za mrengo wa kushoto ( Ujamaa ) ni siasa za watu. Siasa za kutetea wanyonge. Siasa za ukombozi ( liberation). Siasa za Maendeleo ( developmental). Karl Marx aliweka msingi mkuu na ni wajibu wetu kutafsiri msingi huo kwa mazingira yetu.

Mwanazuoni mmoja alipata kuuliza, " Marx angezaliwa Sumbawanga " ingekuwaje? Angeandika Das Kapital ( The Capital ) ?


Hahah founder wa Act Zito Kabwe ni bilionea kwa mujibu wa maneno yake yeye mwenyewe, na Zito Kabwe amezaliwa kwenye umaskini ina maana hajaurishi huo Ubilionea, sasa Karl Marx na yeye wapi na wapi? Au ndiyo muendelezo wa kudanganyana?
 
Kumbe ndo maana ACT kimedorora tangu mwanzo, yaani wanafuata itikadi za kizamani za Marx ambazo hata huko kwao zimesha tupwa ! Zitto kachemka vibaya Sana !!
NI WAZO LAKO, LINAPASWA LIHESHIMIWE.
NI WALE WENYE MAWAZO YA KIBINAFSI NDIYO WANAONA ACT INAFUATA MAWAZO YA KIZAMANI.
 
6f11784983232cd8fbac9d067730bcd3.jpg
1ac2baafca7bedf1d41c627a0704e494.jpg
bf3a8997cf5c3d8f42d144c873f422f8.jpg

Siku kama ya Leo 5/5/1818 huko Trier Ujerumani alizaliwa Karl Marx. Hapa Tanzania 5/5/2014 kilizaliwa Chama Cha Siasa cha mrengo wa kushoto, Chama cha Wazalendo ( Act Wazalendo ).
Marx ni mmoja wa wanamapinduzi wachache Sana duniani ambao walifanya watu kuiona dunia Kwa jicho tofauti kabisa. Andiko lake linaloendelea kusomwa na kusomwa, kuchambuliwa na kuchambuliwa, ni Das Kapital.
ACT Wazalendo ni moja ya Chama cha siasa kinachojitahidi kubadilisha Kabisa namna ya kufanya siasa zetu hapa nchini na Afrika. Kufanya siasa za masuala, siasa za majawabu ya changamoto zetu, siasa za uwajibikaji. Sio kazi rahisi lakini tumedhamiria kuifanya.

Siasa za mrengo wa kushoto ( Ujamaa ) ni siasa za watu. Siasa za kutetea wanyonge. Siasa za ukombozi ( liberation). Siasa za Maendeleo ( developmental). Karl Marx aliweka msingi mkuu na ni wajibu wetu kutafsiri msingi huo kwa mazingira yetu.

Mwanazuoni mmoja alipata kuuliza, " Marx angezaliwa Sumbawanga " ingekuwaje? Angeandika Das Kapital ( The Capital ) ?
NI CHAMA MAKINI, CHAMA CHENYE MISINGI BORA NA NI CHAMA KINACHOJARI WANYONGE.
BILA SHAKA NI CHAMA KINACHOSTAHILI TANZANIA.

KEEP IT UP ACT WAZALENDO.
 
NI CHAMA MAKINI, CHAMA CHENYE MISINGI BORA NA NI CHAMA KINACHOJARI WANYONGE.
BILA SHAKA NI CHAMA KINACHOSTAHILI TANZANIA.

KEEP IT UP ACT WAZALENDO.
Mnyonge yupi? Sijawahi kuona kiongozi mnafiki kama huyo mwanzilishi wenu aisee.
 
Mnyonge yupi? Sijawahi kuona kiongozi mnafiki kama huyo mwanzilishi wenu aisee.
UMEONESHA HISIA ZAKO HAKUNA ANAYEPASWA KUKULAUMU. KWA SABABU HATA CCM BASHE WANAMUITA MNAFIKI.

HIVI UKIULIZWA ELEZA UNAFIKI ULIOUONA , UNAWEZA KUUSEMA KWELI?
 
Kumbe ndo maana ACT kimedorora tangu mwanzo, yaani wanafuata itikadi za kizamani za Marx ambazo hata huko kwao zimesha tupwa ! Zitto kachemka vibaya Sana !!
Tenganisha Zitto na Act zitto anahubiri ujamaa kwa kunongona anaishi kibepari .leo ni siku ya birthday ya ACT sio ya Zitto chama ni zaidi ya zitto
 
Back
Top Bottom