ACT Wazalendo kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi 2025

Johnson Alex Otieno

Senior Member
Mar 14, 2013
173
57
Habari za mapumziko mabibi na mabwana.

Jambo moja nataka watanzania wafahamu ni kwamba hii CHADEMA ya sasa inayoongozwa na FAM imechokwa na watawala hivyo watawala wapo Kazini kubrand Chama cha ACT Wazalendo kuwa Chama kikuu cha upinzanzani.

Najua mtauliza kwa namna gani watawala wanataka ACT wazalendo kiwe Chama Kikuu cha upinzani,? Tuludi katika historia ya kuanzishwa kwa hivi viini macho kutoka,NCCR MAGEUZI,TLP,CUF na sasa CHADEMA.

Watawala walianzisha migogoro kupitia vionvozi wa juu,migogoro hiyo ilipelekea vyama kuvunjika na wanachama kugawana fito,ni wazi kuwa FAM ametangaza kugombea tena nafasi yake kwa kushinikizwa na watawala,FAM nae bila kujali Maslahi mapana na Chama ameingia mtegoni.

FAM anatukumbusha anguko la NCCR, TLP, CUF. Leo haifahamiki having vyama viko wapi na vinafanya nini.

Profesa aliua Chama na akakipa nafasi Chama cha ACT wazalendo kushika nafasi Kule zanzibar, kwa sasa FAM anaua CHADEMA ili ACT Wazalendo iwe na nguvu Tanganyika na kule Zanzibar.

Hatimaye 2025 tutashuhudia wabunge wengi wakitoka ACT Wazalendo na kambi rasmi bungeni itashikwa na ACT.

Kama FAM anataka Chama chake kama anavyojinadi,ni afadhari amazeme upya nafasi ya Chama kuliko umimi.

Last niipongeze system na CCM kwa kuendelea kuwatumia wenyeviti kuua upinzani wa keeling ndani ya vyama vyao.

Hongera FAM kwa kutuulia CHADEMA na kutuinulia ACT WAZALENDO.

Uchaguzi mwema ndani ya chama,ACT wazalendo katakana Chama bora cha upinzani mwakani, nguvu za dola na CCM ni kuimarisha ACT wazalendo.

Nikiwa huku Swekeni.
 
Move ya mgogoro wa chadema ni spinning ya tukio kubwa la kijasusi linaloendelea nchini japo na mimi sijui haswa!

Lakini upo uwezekano Kuna jambo kubwa linafanywa na intelligence na wanataka ku divert attention ya wananchi Kwa muda ili lisijadiliwe mapema!
 
CHama kina ummoja wa kitaifa huko Visiwani na ruzuku, lakini hakina mvuto. Visiwani tu hakina ushawishi, labda Kigoma.
CCM = ACT.
 
ACT ni chama cha Zanzibar na sehemu chache sana za Tanganyika
 
Habari za mapumziko mabibi na mabwana.

Jambo moja nataka watanzania wafahamu ni kwamba hii CHADEMA ya sasa inayoongozwa na FAM imechokwa na watawala hivyo watawala wapo Kazini kubrand Chama cha ACT Wazalendo kuwa Chama kikuu cha upinzanzani.

Najua mtauliza kwa namna gani watawala wanataka ACT wazalendo kiwe Chama Kikuu cha upinzani,? Tuludi katika historia ya kuanzishwa kwa hivi viini macho kutoka,NCCR MAGEUZI,TLP,CUF na sasa CHADEMA.

Watawala walianzisha migogoro kupitia vionvozi wa juu,migogoro hiyo ilipelekea vyama kuvunjika na wanachama kugawana fito,ni wazi kuwa FAM ametangaza kugombea tena nafasi yake kwa kushinikizwa na watawala,FAM nae bila kujali Maslahi mapana na Chama ameingia mtegoni.

FAM anatukumbusha anguko la NCCR, TLP, CUF. Leo haifahamiki having vyama viko wapi na vinafanya nini.

Profesa aliua Chama na akakipa nafasi Chama cha ACT wazalendo kushika nafasi Kule zanzibar, kwa sasa FAM anaua CHADEMA ili ACT Wazalendo iwe na nguvu Tanganyika na kule Zanzibar.

Hatimaye 2025 tutashuhudia wabunge wengi wakitoka ACT Wazalendo na kambi rasmi bungeni itashikwa na ACT.

Kama FAM anataka Chama chake kama anavyojinadi,ni afadhari amazeme upya nafasi ya Chama kuliko umimi.

Last niipongeze system na CCM kwa kuendelea kuwatumia wenyeviti kuua upinzani wa keeling ndani ya vyama vyao.

Hongera FAM kwa kutuulia CHADEMA na kutuinulia ACT WAZALENDO.

Uchaguzi mwema ndani ya chama,ACT wazalendo katakana Chama bora cha upinzani mwakani, nguvu za dola na CCM ni kuimarisha ACT wazalendo.

Nikiwa huku Swekeni.
Obvious maana CHADEMA chi ni YA lissu hakuna kushiriki bila katiba mpyaa..
 
Back
Top Bottom