kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,083
- 10,393
Leo ligi inayopendwa duniani imeingiwa na simanzi baada ya mchezaji wa timu ya Everton kuumia vibaya baada ya kukanyagwa na mchezaji wa Tottenham SON binafsi nimeumia sana.
Dah imenihuzunisha sanaaaLeo ligi inayopendwa duniani imeingiwa na simanzi baada ya mchezaji wa timu ya Everton kuumia vibaya baada ya kukanyagwa na mchezaji wa Tottenham SON binafsi nimeumia sana.