Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mengine yes. ila la akina lisu kupiga kelele ovyo ovyo bungeni, no please. acha watolewe tu.Za leo waungwana jamvini ,leo nahoji hivi vitendo je vina paswa kuwepo kwenye bunge linaloamua hatima ya maisha ya watu waliloliweka wakiwa wanahitaji maslahi yao kwanza yapewe nafasi kabla ya wengine (wananchi ).
1)Tarehe 12/08/2011 wabunge walimuimbia bungeni mizengo pinda wimbo wa happy birthday .
2)mh komba kupiga usingizi bungeni
View attachment 35237
3)kufukuza wabunge kwa kukosa nidhamu ambazo ni one side party
View attachment 35238View attachment 35238
View attachment 35238
4) Masihara ya kuzidi mfano kutangaza kuunda kamati za ufundi , kuitana majina yasiyorasmi 'sugu' badala ya mh joseph mbilinyi mara tyson
e.tc
JE BUNGE HILI NI LILILOWEKWA KUTATUA HAYA ?
View attachment 35239
TAFAKARI ?