Leo ni birthday ya mtoto wa mkulima

Crucifix

JF-Expert Member
Feb 20, 2011
1,651
588
Anapoadhimisha siku yake ya kuzaliwa, anapaswa kushughulikia matatizo ya watoto wengi wanaokufa wakati wa kuzaliwa kutokana na huduma hafifu za mama wajawazito na watoto, pia gharama ambazo wajawazito hawapaswi kulipia
 
Za leo waungwana jamvini ,leo nahoji hivi vitendo je vina paswa kuwepo kwenye bunge linaloamua hatima ya maisha ya watu waliloliweka wakiwa wanahitaji maslahi yao kwanza yapewe nafasi kabla ya wengine (wananchi ).

1)Tarehe 12/08/2011 wabunge walimuimbia bungeni mizengo pinda wimbo wa happy birthday .

2)mh komba kupiga usingizi bungeni

ulalaji.jpeg

3)kufukuza wabunge kwa kukosa nidhamu ambazo ni one side party

fuku.jpg fuku.jpg




fuku.jpg

4) Masihara ya kuzidi mfano kutangaza kuunda kamati za ufundi , kuitana majina yasiyorasmi 'sugu' badala ya mh joseph mbilinyi mara tyson
e.tc

JE BUNGE HILI NI LILILOWEKWA KUTATUA HAYA ?

AJIRA.jpeg

TAFAKARI ?
 
Za leo waungwana jamvini ,leo nahoji hivi vitendo je vina paswa kuwepo kwenye bunge linaloamua hatima ya maisha ya watu waliloliweka wakiwa wanahitaji maslahi yao kwanza yapewe nafasi kabla ya wengine (wananchi ).

1)Tarehe 12/08/2011 wabunge walimuimbia bungeni mizengo pinda wimbo wa happy birthday .

2)mh komba kupiga usingizi bungeni

View attachment 35237

3)kufukuza wabunge kwa kukosa nidhamu ambazo ni one side party

View attachment 35238View attachment 35238




View attachment 35238

4) Masihara ya kuzidi mfano kutangaza kuunda kamati za ufundi , kuitana majina yasiyorasmi 'sugu' badala ya mh joseph mbilinyi mara tyson
e.tc

JE BUNGE HILI NI LILILOWEKWA KUTATUA HAYA ?

View attachment 35239

TAFAKARI ?
mengine yes. ila la akina lisu kupiga kelele ovyo ovyo bungeni, no please. acha watolewe tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom