Salute kwako mkuuu naona umeshawahi dawati la mbele kabisa..Kwanza unatakiwa kujua hakuna mapenzi
ambayo ni matamu kama mapenzi ambayo yana
maendeleo na yenye maisha mazuri.Hata siku
mkiwa mko kwenye show zenu huku mna uhakika
wa maisha huwaga zile show zinakuwa amazing
sana mana zinakuwa hazina stress.Sasa leo kuna
vijana wengi wanakomaa kwenye mahusiano
ambayo kwanza hayana furaha japo
wanalazimishia furaha.Kwanza kijana unatakiwa
kupiga mahesabu kuwa toka umeanza mahusiano
na mpenzi wako maisha yanaenda mbele au
yanarudi nyuma.Ukiona maisha yanarudi nyuma
basi jinasue kwenye hayo mahusiano.
Kwanza siku hizi vijana wanakomaa kuingia
kwenye mahusiano na mabinti wadogo na wazuri
kwa ajili ya kufurahisha matamanio yao ya sex
tu.Sasa shida ya vibinti hivyo unakuta havijui
chochote kuhusu maisha yani hajui kuna kupata
au kukosa siku akipiga kizinga huna ananuna.Uko
kwenye mahusiano na binti ambaye anajua
majina yote ya club mpaka club zingine anaingia
bure kwa sababu ashazoeleka wewe bado
unakomaa naye.Tena vijana wengine unakuta
anajinyima kabisa yeye anampa mwanamke yani
anapigwa kizinga anatoa huku anatukana moyoni
eti kinachofanya ajitoe muhanga anaogopa
akimnyima wengine watampa.Sikia ni kuambie
kitu hawa mabinti wa siku hizi ambao hawayajui
maisha jinyime weeh siku umeishiwa kabisa
usifikiri atabadilika ndio kwanza atakuacha.
Sasa wengine unakuta wanakutana na
mwanamke ambaye amemzidi umri anampenda
lakini anaona noma masela watamcheka.Acha
nikuambie hata mwanaume kuna muda anahitaji
kuwa na mwanamke wa kumuongoza ukikuta
umepata mwanamke amekuzidi umri ila anayajua
maisha usiogope maneno ya watu kuwa naye
ukiwa hasa unajua malengo yako na kile
ambacho unapata.
Tambua kabisa kuwa na mahusiano na binti
ambaye hajawahi kuwaza maisha zaidi ya
starehe ni kutengeneza cancer ambayo itakuja
kukumaliza mbeleni.
SASA ENDELEA KUJITOA MUHANGA
KUVIRIDHISHA HIVYO VI BINTI UNAFIKIRI
UKIISHIWA ATAKUONEA HURUMA WAKATI NDIO
KWANZA ATAENDA KUCHUKUA KIBABU KAMA
BABA YAKO ILI AENDELEE KULA STAREHE.
Kila mahal unakuwa wa kwanza kukomenti hiyo picha ya avatar ni ya kwakoNimekuelewa sana mkuu...na nimejifunza
Ndio ni ya kwangu hapa JFKila mahal unakuwa wa kwanza kukomenti hiyo picha ya avatar ni ya kwako
Inaonekana una mapozi, sio kwa pozi hilo,Ndio ni ya kwangu hapa JF
wala hata sina mapozi...Avatar isikupe hofu bibieInaonekana una mapozi, sio kwa pozi hilo,
Avatar imenitisha ,natam mwaka huu usiishe kabla sijakuonawala hata sina mapozi...Avatar isikupe hofu bibie
Ni wewe tu....Avatar imenitisha ,natam mwaka huu usiishe kabla sijakuona
Kumbe unalimitation ya watu kusoma profile yako, umetishawala hata sina mapozi...Avatar isikupe hofu bibie
Pesa=Mwanamke. Hapo tuu utauafurahia mapenzi hizo theory nyingine mbwembwe tuu.Kwanza unatakiwa kujua hakuna mapenzi
ambayo ni matamu kama mapenzi ambayo yana
maendeleo na yenye maisha mazuri.Hata siku
mkiwa mko kwenye show zenu huku mna uhakika
wa maisha huwaga zile show zinakuwa amazing
sana mana zinakuwa hazina stress.Sasa leo kuna
vijana wengi wanakomaa kwenye mahusiano
ambayo kwanza hayana furaha japo
wanalazimishia furaha.Kwanza kijana unatakiwa
kupiga mahesabu kuwa toka umeanza mahusiano
na mpenzi wako maisha yanaenda mbele au
yanarudi nyuma.Ukiona maisha yanarudi nyuma
basi jinasue kwenye hayo mahusiano.
Kwanza siku hizi vijana wanakomaa kuingia
kwenye mahusiano na mabinti wadogo na wazuri
kwa ajili ya kufurahisha matamanio yao ya sex
tu.Sasa shida ya vibinti hivyo unakuta havijui
chochote kuhusu maisha yani hajui kuna kupata
au kukosa siku akipiga kizinga huna ananuna.Uko
kwenye mahusiano na binti ambaye anajua
majina yote ya club mpaka club zingine anaingia
bure kwa sababu ashazoeleka wewe bado
unakomaa naye.Tena vijana wengine unakuta
anajinyima kabisa yeye anampa mwanamke yani
anapigwa kizinga anatoa huku anatukana moyoni
eti kinachofanya ajitoe muhanga anaogopa
akimnyima wengine watampa.Sikia ni kuambie
kitu hawa mabinti wa siku hizi ambao hawayajui
maisha jinyime weeh siku umeishiwa kabisa
usifikiri atabadilika ndio kwanza atakuacha.
Sasa wengine unakuta wanakutana na
mwanamke ambaye amemzidi umri anampenda
lakini anaona noma masela watamcheka.Acha
nikuambie hata mwanaume kuna muda anahitaji
kuwa na mwanamke wa kumuongoza ukikuta
umepata mwanamke amekuzidi umri ila anayajua
maisha usiogope maneno ya watu kuwa naye
ukiwa hasa unajua malengo yako na kile
ambacho unapata.
Tambua kabisa kuwa na mahusiano na binti
ambaye hajawahi kuwaza maisha zaidi ya
starehe ni kutengeneza cancer ambayo itakuja
kukumaliza mbeleni.
SASA ENDELEA KUJITOA MUHANGA
KUVIRIDHISHA HIVYO VI BINTI UNAFIKIRI
UKIISHIWA ATAKUONEA HURUMA WAKATI NDIO
KWANZA ATAENDA KUCHUKUA KIBABU KAMA
BABA YAKO ILI AENDELEE KULA STAREHE.
Hahahah nimekuelewa ngoja nakujaKumbe unalimitation ya watu kusoma profile yako, umetisha
Basi ngoja nijipange, nikutafute baada ya likixoNi wewe tu....