GE2025 Leo Magari yenye chata za Makonda na kombati ya kijeshi yameenea jijini Arusha kuelekea uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Makonda ni mtu wa hovyo sana.

Sijui kwanini chama changu kilimpitisha?
 
Haya yote ni madhara ya chama kuwa juu ya serikali kwa hiyo wala hakibanwi na sheria zozote za nchi , wenye akili timamu CCM wameisha wote, mabilioni kwa mabilioni yanatumika wakishindana na CHAUMMA, hii ni mbinu ya kutakatisha pesa za chama
 
Mbona uwanja wa soweto utakua mdogo?Wangefanyia stadium kabsa.
 
Huyu Bashite nani amemruhusu atumie rangi za Jeshi letu la wananchi kuhalarisha wizi aliiloutebfs enzi za nafuguli?

Tumeruhusu Jeshi letu pendwa na linaroheshimika kuanza kubagazwa?
 
P
Point kubwa hapa ni kwamba hakuna wa kukupambania, jipambanie mwenyewe. Ukipata nafasi itumie vyema
 
Aanze kwanza kukemee sheria kandamizi za utoaji maoni na kufungulia jakwa hili ndo ulete haya maigizo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…