Shamra shamra za kampeni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kushika kasi!
Leo magari yenye chata la mtia nia kupitia Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda yameonekana yakizunguka mitaa mbalimbali ya jiji la Arusha yakitoa hamasa na ishara ya uzinduzi mkubwa wa kampeni.
Paul Christian Makonda ni jina lililosubiriwa kwa hamu na wananchi wengi kutokana na msimamo wake thabiti na upekee wake wa kusimama na watu. Ni kiongozi aliyekuwa kivutio, sasa akiingia rasmi kwenye ulingo wa ubunge Arusha Mjini.
Uzinduzi rasmi wa kampeni unatarajiwa kufanyika tarehe 12 Septemba 2025 katika Viwanja vya Soweto, Arusha, huku mgeni rasmi akiwa Mgombea mwenza wa Urais, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi.
Hizi ndizo shamrashamra kuelekea siku ya kihistoria kwa Arusha!
Tafuta ela achana na lugha za jinai haiozi. Wakwere wanasema "If you can't beat your enemies, join them". Waweza kujikuta una miaka 70 unasubiri jinai isiyooza huku watu wanakula maisha. Watanzania tubadili mindset, wenzetu wameshaona maisha yalivyo mafupi na mambo yamebadilika. Wengi wetu wamekalia kuombea mabaya yawakute waliojiongeza. Tunajichelewesha.
Tafuta ela achana na lugha za jinai haiozi. Wakwere wanasema "If you can't beat your enemies, join them". Waweza kujikuta una miaka 70 unasubiri jinai isiyooza huku watu wanakula maisha. Watanzania tubadili mindset, wenzetu wameshaona maisha yalivyo mafupi na mambo yamebadilika. Wengi wetu wamekalia kuombea mabaya yawakute waliojiongeza. Tunajichelewesha.
Mkuu kwa wiki 3 mfululizo kupitia Polepole JK na Rostam wametuhumiwa mangapi!?, umeona wakikonda?, point yangu sio watu wapotezee, ila nikipata nafasi nawashauri watu wapambanie matumbo yao, kwa watanzania wa leo hakuna wa kuingia Front kufanya lolote, kuendekeza lugha za jinai haiozi ni kusubiri embe chini ya mnazi. Lazimisha, force connection, kuwa hata CHAWA upate maisha mazuri. Leo hii baba Levo na Mwijaku wana maisha mazuri, wakati ma lecturer wa UDSM bado wanaishi kutegemea kuuza maziwa kwa ng'ombe watano. Mambo yamebadilika, tubadilike pia. Hawa watanzania wa leo sio wa kuwategemea kwenye mabadiliko ya kweli nchini. Ukituliza kichwa utanielewa.
Mkuu wa wilaya Hai, Mkoani Kilimanjaro, Hassan Bomboko, ameonyesha wazi kutokubaliana na mbunge wa Jimbo hilo, Saashisha Mafue, ambaye ameteuliwa kugombea tena ubunge. Kutengua uteuzi huu unakuja wakati ambapo Bomboko, ambaye pia ni Kamisaa wa chama na Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya wilaya...
Mkuu kwa wiki 3 mfululizo kupitia Polepole JK na Rostam wametuhumiwa mangapi!?, umeona wakikonda?, point yangu sio watu wapotezee, ila nikipata nafasi nawashauri watu wapambanie matumbo yao, kwa watanzania wa leo hakuna wa kuingia Front kufanya lolote, kuendekeza lugha za jinai haiozi ni kusubiri embe chini ya mnazi. Lazimisha, force connection, kuwa hata CHAWA upate maisha mazuri. Leo hii baba Levo na Mwijaku wana maisha mazuri, wakati ma lecturer wa UDSM bado wanaishi kutegemea kuuza maziwa kwa ng'ombe watano. Mambo yamebadilika, tubadilike pia. Hawa watanzania wa leo sio wa kuwategemea kwenye mabadiliko ya kweli nchini. Ukituliza kichwa utanielewa.