guru_observer
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 171
- 295
ndio, hii ni FREE IPTV
Sorry niliandika kwa saa za huku, huko kwenu itakuwa saa tisa na nusu, ambapo huku kwetu itakuwa saa kumi na mbili (IST)
Tuliza mbunye weweUna ruhusa toka Azam Media au inaiba na unataka kutushirikisha kutumia Mali ya wizi
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiona wizi acha, lakni link zao hazipo secure zinaplay out of their appUna ruhusa toka Azam Media au inaiba na unataka kutushirikisha kutumia Mali ya wizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kunamtu atalazimshwa kuzitumia? ukiona wizi unaachana nazo.Una ruhusa toka Azam Media au inaiba na unataka kutushirikisha kutumia Mali ya wizi
Sent using Jamii Forums mobile app
yan kaka unaambiwa hivi ni kitu ngumu sana kuprevent link zisiwe captured maana hata dstv wao wameshindwa kwahyo wanachofanya wanabadlisha link kila baada ya masaa 12 ila kwa azam wao czan kama wataweza ww tuletee links hizo ila czan kama ni vyema kuzimwaga hapa mtu akitaka mtumie inboxbaada ya kupokea PM nyingi kutoka kwa wadau mbalimbali kuwa badala ya kuweka hapa link ambazo wengi hawawezi kuziplay, wameshauri niweke kwenye app moja ambayo itakuwa rahisi kwa wote kuplay.
sasa kaeni tayari leo jioni kwa majira ya IST nashusha free app ambayo itaitwa FREE IPTV
nataka nikupinge kuzuia link kuwa captured inawezekana vizuri tuu tena sana kuna simple solutions kufanya hivyo, hata ikiwa captured haitaweza ku_play.yan kaka unaambiwa hivi ni kitu ngumu sana kuprevent link zisiwe captured maana hata dstv wao wameshindwa kwahyo wanachofanya wanabadlisha link kila baada ya masaa 12 ila kwa azam wao czan kama wataweza ww tuletee links hizo ila czan kama ni vyema kuzimwaga hapa mtu akitaka mtumie inbox
nipo JF kwa zaidi ya miaka 9.Joined 25, January 2020
Hii ni marketing strategy!
#joking